Ana hasira na Wema kwasababu ya Mange, siku ugomvi wa Temu family na Mange ukiisha nitakuwa pensioner.[emoji3] [emoji3] [emoji3] tatizo yule alikua anadili na watu wengi tofauti na mange
Ona anavyomtukana mobeto na ana mitusiiii...balaaa...mimi nimefurahi kweli leo alivyojulikana live mfano wema kila siku anamtukana jaman hajamkosea chochote,Sakina lyoka nae chupuchupu aumbuliwe!
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] daah!kajiharibia kweli rachel na mpk dada ake hoyce kumbe wote washenzi tuu...Ana hasira na Wema kwasababu ya Mange, siku ugomvi wa Temu family na Mange ukiisha nitakuwa pensioner.
ahaaaa hadi nimeona aibu yaani .[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] shoga nenda kwa mange nakuambia leo anabadili tu akaunti mara uliyemkataakaja au kanyagatwendee....aibu imemkutaaa mpk bas
Itakuwa tumepishana kwa mange.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] shoga nenda kwa mange nakuambia leo anabadili tu akaunti mara uliyemkataakaja au kanyagatwendee....aibu imemkutaaa mpk bas
ahaaaa niliona hyo. msando alichambwa wakasema ana ngoma na vithibitisho juu.yaani umbea wake sio wa nchi hiialishawahi kumtukana Mohammedi dewj
asante besti kula gwala...[emoji3] [emoji3] [emoji111] [emoji111] rachel leo amekalia ncha kali...!!!!anahahaa huyo balaa...Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23] now anaangaika kufuta watu aliowatukana ilikua mtu hata akilike kitu kwa mange anatukana
Itakuwa tumepishana kwa mange.
Nimemchamba mpaka.
Yupo anadelete post ha ha ha.
Aibu isiyo ya kawaida hii jamani..
Mweee mweee mweee
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
ahaaaa niliona hyo. msando alichambwa wakasema ana ngoma na vithibitisho juu.yaani umbea wake sio wa nchi hii
Wee Mange Kimambi sio ...[emoji43][emoji43][emoji43][emoji43] huu Mbona nwandiko wako kule Instagram!!??yani nimecheka ulivyoumbuka alafu eti kafuta baadhi ya post hata dada ake hoyce temu kuna siku alijisahau akapost issue sensitive kwenye account yake ya matusi[emoji3][emoji3] akafuta fasta
Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23] now anaangaika kufuta watu aliowatukana ilikua mtu hata akilike kitu kwa mange anatukana
Recho miwaya ha ha ha ha.asante besti kula gwala...[emoji3] [emoji3] [emoji111] [emoji111] rachel leo amekalia ncha kali...!!!!anahahaa huyo balaa...
si afute tu akaunti..
hizi feki id hizi.....hatari sana looohh!!!
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
Yaan ana matusi recho na kwenye page yake katengeneza nywele hizo hizo yaan nataman aliowatukana wampeleke polisi....asante besti kula gwala...[emoji3] [emoji3] [emoji111] [emoji111] rachel leo amekalia ncha kali...!!!!anahahaa huyo balaa...
si afute tu akaunti..
hizi feki id hizi.....hatari sana looohh!!!
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
kumbe ZE DON MSANDO ana ngoma?ahaaaa niliona hyo. msando alichambwa wakasema ana ngoma na vithibitisho juu.yaani umbea wake sio wa nchi hii
ndo nimejua wale wote hamnazo hoyce akajifanya kahakiwayani nimecheka ulivyoumbuka alafu eti kafuta baadhi ya post hata dada ake hoyce temu kuna siku alijisahau akapost issue sensitive kwenye account yake ya matusi[emoji3][emoji3] akafuta fasta
ndo yeye ndio mpk nywele ndo zile zile yaani hana pa kutokea yule!!Recho miwaya ha ha ha ha.
Nimecheka sana Leo..
Alikuwa anamchamba Wema kumbe yeye mwenyewe hajazaa.
Kujitia anaishi marekani na ana katoto ka kizungu. Hu hu hu hu
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
Yaan ana matusi recho na kwenye page yake katengeneza nywele hizo hizo yaan nataman aliowatukana wampeleke polisi....
Wanajitiaga wajuaji sana huko insta
Baasi tu hulka za bata muda wote anahara tu...!!!kaumbuka leoo!!!Vya wazungu hivi ipo siku unajisahau na kuharibu mambo ila khasa dada zangu hivi mtu unapata raha gani kutukana watu tu na wala hawajakutendea ubaya ni faida gani? Nadhani ni fundisho