Hamshindi mange ila recho alikuwa anatembelea kivuli cha fake account kutukana watu ambao hadi wengine ni marafiki zake.Kwa hiyo huyo Recho ana matusi kumshinda Mange?
[emoji1] [emoji1] daahh!Rachel ana mitusi nduguuu...tena ya nguoni haswaaa...!!!
He he he mwisho wa ubaya ni aibu.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]yaani kweli maisha bila unafiki hayaendi maana sio kwa kujifanya mzungu kule daah!kumbe mxiuu zake
ndo yeye ndio mpk nywele ndo zile zile yaani hana pa kutokea yule!!
Ningeshangaa sana kama angemzidi Mange kwa matusi.Hamshindi mange ila recho alikuwa anatembelea kivuli cha fake account kutukana watu ambao hadi wengine ni marafiki zake.
Mfano Mimi nikiwa kwenye account yangu nakuheshimu wewe ila kumbe Nina account nyingine nakutukana sana. Kinachotisha siyo matusi ila ni vile alikuwa mnafiki kuzunguka watu na kuwatukana.
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
This is too low for you my friend to deal with...Kama anamzidi hadi Mange basi atakuwa anatisha. Atakuwa si wa sayari hii.
Ila sijui watu watakua lini tu!
Utoto, ujinga, na upumbavu ni combination mbaya sana.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] soma hapaKama anamzidi hadi Mange basi atakuwa anatisha. Atakuwa si wa sayari hii.
Ila sijui watu watakua lini tu!
Utoto, ujinga, na upumbavu ni combination mbaya sana.
Hamshindi mange ila recho alikuwa anatembelea kivuli cha fake account kutukana watu ambao hadi wengine ni marafiki zake.
Mfano Mimi nikiwa kwenye account yangu nakuheshimu wewe ila kumbe Nina account nyingine nakutukana sana. Kinachotisha siyo matusi ila ni vile alikuwa mnafiki kuzunguka watu na kuwatukana.
Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
This is too low for you my friend to deal with...
sijampima mkuu .ila alichambwa sana hukokumbe ZE DON MSANDO ana ngoma?
Hawezi mzidi. Mange ni balaa nyingine sema uzuri hajifichiNingeshangaa sana kama angemzidi Mange kwa matusi.
Hahahahaaa.
Ha ha ha ha sipati picha yule mpare wa marekani alivochamba leo