Rachel Temu nani haswa?

Diplomat anafanya ujasiriamali wa nguo na vyombo Nairobi? Huenda sijui maana ya Diplomat.
 
MWIJAKU KAPATA MSAIDIZI SASA HIVI ANAITWA BABA LEVO.. sasa huyo levo ndio hali mbaya zaidi maana hata yeye mwenyewe hajijui kama ni mwanaume au mwanamke!
Si ni heri Baba levo anajulikana ni la saba, akina harmonize , Rayvanny , diamond , H-baba wote Elimu zao miyeyusho , .....wa kumshangaa hapo ni mwijaku graduates tena from UDSM lakni thinking capacity ni level ya Baba levo
 
Itasikitish sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Si ni heri Baba levo anajulikana ni la saba, akina harmonize , Rayvanny , diamond , H-baba wote Elimu zao miyeyusho , .....wa kumshangaa hapo ni mwijaku graduates tena from UDSM lakni thinking capacity ni level ya Baba levo
Halafu yule nae amekaa kama kocho hivi. Hawambokoi kweli?
 
Amefiwa na mama ake juzi hapa mdomo wote kimyaa!!Mungu fundi Sana
 
Rachel Temu naona alipelekwa magereza za Kenya na amesota huko sana. Sasa amekuwa mpole sana, je alifanikiea kupata dhamana?? Naskia pia anashtakiwa kwa kuidanganya serkal ya Kenya kwamba yeye ni diplomat wife
 
Rachel Temu naona alipelekwa magereza za Kenya na amesota huko sana. Sasa amekuwa mpole sana, je alifanikiea kupata dhamana?? Naskia pia anashtakiwa kwa kuidanganya serkal ya Kenya kwamba yeye ni diplomat wife
Hapana kashtakiwa Kwa kumtukana Mbunge viti maalum Catherine magige na alimuita no HIV victim Ndo maana
Bado Yuko jela
 
Hapana kashtakiwa Kwa kumtukana Mbunge viti maalum Catherine magige na alimuita no HIV victim Ndo maana
Bado Yuko jela
Yes niliskia lkn pia nafikiri alipata dhamana. Lakini ana kesi nyingine sababu siku anakamatwa aliwaambia polisi wa Kenya kwamba mumewe ni diplomat ( huyo anaeishi nae) lakini kumbe yule bwana ana mke kwao, Rachel ni hawara tu. Polis ya Kenya imemshtaki kwa kuwadanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…