Rachel Temu vs Hyatt Regency: Ushauri wangu kwako..

Ndio kabisa nasikia hizi hotel wazawa wanalipwa laki na nusu au laki mbili halaf wageni wanalipwa pesa ndefu kweli hapo namuunga mkono
Sasa hapo ni kosa la mwenye hoteli? Ubozo na u-slowness wetu watanzania hauna mpinzani. Mshahara kwenye private sector mara nyingi unatokana na negotiations kati ya mwajiri na mwajiriwa, pamoja na requirements nyingine. Sasa wewe kama unaona mshahara wako ni mdogo kuliko mwenzako, hilo ni kosa lako. Pia kuna vyama vya wafanyakazi, si watumie hivyo vyama kupeleka madai yao?

Kama wewe una qualifications na job requirements sawa na mgeni, halafu kakuzidi mshahara, kama huyo mgeni hajaajiriwa kama expatriate, basi hilo ni kosa lako mwenyewe na siyo mwajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…