Rachel Temu vs Hyatt Regency: Ushauri wangu kwako..

Rachel Temu vs Hyatt Regency: Ushauri wangu kwako..

Ndio kabisa nasikia hizi hotel wazawa wanalipwa laki na nusu au laki mbili halaf wageni wanalipwa pesa ndefu kweli hapo namuunga mkono
Tena wahindi wanaleta ndugu zao.
Wengine wanalipwa kwa usd kabisa ila mzawa analipwa laki na 20.

Wakati serikali inahangaika kufanya advertisement huko tanapa na ttb lakini hao wageni wakija wananuafaisha wakuja.
Wahindi.
Sasa wewe nenda kwenye nchi zao uone kama utalipwa nini.
 
Wale chama pendwa kuna chimbo letu twendeni huku!..
IMG-20180208-WA0000.jpg
 
Huyu Rachel Temu Ndio Yule Mange Kimambi anamuitaga Rachel Miwaya?

Nasikia anasambaza bila huruma hasa kwa waume za watu!
Ndiye huyo ila kuusambaza sidhani Mange anasinfo kuwa Hoyce ampatia ARV's za USAID
 
Tena wahindi wanaleta ndugu zao.
Wengine wanalipwa kwa usd kabisa ila mzawa analipwa laki na 20.

Wakati serikali inahangaika kufanya advertisement huko tanapa na ttb lakini hao wageni wakija wananuafaisha wakuja.
Wahindi.
Sasa wewe nenda kwenye nchi zao uone kama utalipwa nini.
Shangaa miss Natafuta sijui analalamikia nini
 
Back
Top Bottom