Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Kutokana na kichwa cha habari, hata Obama asineona ndani.
Hivi tunasheria inayomlazimisha mwenye mali kumhudumia kila mtu anaetaka huduma hiyo bila kubagua? Tofauti na mheshimiwa waziri alivyosema, hii hoteli ni ya wenye miliki na sio ya watanzania. Tulipoziuza tumepoteza milki yetu. Mimi ushauri wangu ni badala ya kukimbilia kwa wanasiasa tuanzishe kampeni ya kuzisusia hoteli zote zenye taratibu hizo. Na zaidi ya hivyo, tupeleke habari huko wanakotoka hao watalii kuwa hoteli hizo ni za kibaguzi. Hivyo hivyo kwa hayo maduka ya Mlimani City.
Amandla....
Hivi tunasheria inayomlazimisha mwenye mali kumhudumia kila mtu anaetaka huduma hiyo bila kubagua? Tofauti na mheshimiwa waziri alivyosema, hii hoteli ni ya wenye miliki na sio ya watanzania. Tulipoziuza tumepoteza milki yetu. Mimi ushauri wangu ni badala ya kukimbilia kwa wanasiasa tuanzishe kampeni ya kuzisusia hoteli zote zenye taratibu hizo. Na zaidi ya hivyo, tupeleke habari huko wanakotoka hao watalii kuwa hoteli hizo ni za kibaguzi. Hivyo hivyo kwa hayo maduka ya Mlimani City.
Amandla....