Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aljkudanganya radi ndio umeme wenye power kuliko vyote ila ukikaa hapo radi itapiga izo nyaya ww huna cha kuhofiaMimi natoka nje ya mada ila ni swali linalohusiana, kuna mtu aliniambia huu umeme una nguvu kuliko radi, kama upo karibu na radi inapiga sana bora usubiri hapo inaweza piga maeneo ya karibu lkn sio karibu na hii high tension power line.
View attachment 1707918
Ndege huwa zinazuiaje radNdugu achana kabisa na kitu kinachoitwa Radi. nakumbuka kuna mwaka mazungu walifunga mtambo wa PBX (mtambo wa mawasiliano)kwenye halmashauri ya Morogoro.walifunga na vitu flani vinaitwa Arrester ili kuzuia Radi.Kuna siku ilipiga Radi ya hatari, ikaondoka na mtambo pamoja na Arrester zenyewe zilizokuwa zinazuia Radi.
Kifupi ni kwamba hakuna kifaa kinachokupa uwakika wa 100% kwenye kuzuia Radi
Ngoja ujidanganye, radi ni umeme na simu ni conductor wa electricity zoea tu kuna siku utakaushwa ndo ushangaeTuwekane sawa, ukiwa unatumia simu ya mkononi ndani mwako, na radi zinapiga nje, hata uweke 4g radi haidhuru simu. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves). Radi ni umeme, hivyo husafiri sehemu zipitishazo umeme tu. Jiachie na internet ukiwa ndani ya nyumba yako, ila simu isiwe charging tu.
.Ndege huwa zinazuiaje rad
Ndege ziko coated na kitu glan hivi nimesahau jina kuzuia radiNdege huwa zinazuiaje rad
Kuna electro na magnet hapo...dogo wa form 4 alichomoa hili swali fresh.Mtoa mada hujui unachokisema aisee, hivi miti mirefu huwa ina umeme, pia naomba uniambie nini maana ya electromagetic wave
Ukipata jina lake uje na bei ya hicho kitu. Nina safari ya kuelekea Songea nataka kujipaka hiyo kitu!Ndege ziko coated na kitu glan hivi nimesahau jina kuzuia radi
Kingine radi inaanza kupiga object ndefu zaidi kama ghorofa au mnara! Haiwezi kupiga object ya chini ikaacha ndefuradi ni umeme, kwa hiyo inapita kwenye njia za umeme, kama kuna radi nje vifaa vilivyoungwa kwenye umeme vitadhurika (radio, tv n.k) kwahiyo ni bora ukachomoa vifaa vya umeme kutoka kwenye switch mpaka ziishe
MuongoNdege ziko coated na kitu glan hivi nimesahau jina kuzuia radi
Yes, nakumbuka alikuwa anatoka kula na washikaji ikamchambua yeye. Kesho yake tukaaga mwili na siku hiyo mademu wote walivaa kwa heshima hadi tukasema kumbe mademu wanajua jinsi ya kujistiri.Mwaka 2012 UDOM kuna mshikaji alikuwa anaongea na simu palikuwa na mvua,ilishuka radi ikapita naye
Argue kwa facts...unakua kama zuzuMuongo
Acha kukaza ndoga hio. Fungua ubongo huoMuongo
Radi haizuiliwi na chochote. Ikiamua kuharibu inaharibu tu. Niliwahi kuona clip moja, ndege ilipigwa na radi ikawaka juu kwa juu na kuteketea kabisa!!Ndege ziko coated na kitu glan hivi nimesahau jina kuzuia radi