Radi yaua wanafunzi watatu na kujeruhi wengine 53

Radi yaua wanafunzi watatu na kujeruhi wengine 53

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Wanafunzi watatu wa shule ya msingi Mkulima wamefariki dunia baada ya radi kupiga kwenye chumba cha darasa walichokuwa wanatumia.

Tukio hilo limetokea katika mji wa Nakuru nchini Kenya siku ya Ijumaa jioni wakati wa kipindi cha michezo Shuleni hapo.

Mbali na vifo vya watatu hao umedaiwa kuwa watoto wengine 53 wamejuluhiwa na wamepelekwa kwenye hospitali moja huko mjini Nakuru.

Mwalimu mkuu wa shule hiyo Thomas Sisa ameeleza kuwa watoto hao walikuwa wanarudi darasani kutoka kwenye mchezo wa mpira kwenye viwanja vya shule hiyo.
 
Kazi ya mungu haina makosa,mungu awahifadhi marehemu wote .majeruhi mungu awaponye .poleni Na wafiwa wote.sote ni Wa mwenyezimungu Na kwake tutarejea
 
Dah! Inasikitisha. Pole sana kwa wafiwa na roho za marehemu zipumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom