Radio Free Afrika watakiwa kujieleza kwanini wasiadhibiwe kwa kurusha kipindi cha 'Amka na BBC' bila mizania

Aisee chanzo kikuu cha machafuko huku africa ni sisi wenyewe. Wenyewe kwa wenyewe.
Kwanza tamaa ya uongozi kwa baadhi ya marais..
Vyombo vya habari vya ndani. (Rwanda na burundi ni mfano mzuri.)
 
Madictator wote huwa na watetezi wa aina yako. Hiyo BBC tumeanza kuisikiliza miaka na miaka, hakukuwa na tatizo, ila tatizo limeanza baada ya magu kuwa rais wa nchi hii!
Labda wahusika wa maswala ya ulinzi wa Tanzania wamejifunza huko kwao mabeberu wanavyoweza punguza hathari zinazotokana na media kwenye kuhatarisha amani na umoja wao wakati sisi huku wanataka media zetu zifanye kazi kiholela na kuatarisha usalama wetu.
 
Aisee chanzo kikuu cha machafuko huku africa ni sisi wenyewe. Wenyewe kwa wenyewe.
Kwanza tamaa ya uongozi kwa baadhi ya marais..
Vyombo vya habari vya ndani. (Rwanda na burundi ni mfano mzuri.)
Sema baadhi ya wanasiasa sio rais as rais
 
Hii ni serikali ya kishetani kabisa....... Yaani hii ccm ndo iliyokuwa inawapinga makaburu kweli.....Mbona ccm sasa imekuwa zaidi ya wakoloni na makaburu???
 
Hahaha...kama uliambiwa Taifa ni wewe na mmeo ulidanganywa, hupendi kitu the majority wanapenda na huko na amani nacho dawa ni kuhama nchi, hiyo ndo demokrasia, majority rules, kama huko na uhakika sana October sio mbali, JPM hatopata chini ya 90% ya kura zote.
 
Yani kile kijarida cha uhuru kinaandika mambo machafu kabisa tena ya uongo lkn kipo tu.....eti musiba hatumwi na serikali ya ccm wkt anaandika mambo machafu kabisa lkn ikulu, tcra na ccm wanafurahia kusifu kwa kazi nzuri...

TUNDU LISSU ATAWAUA KWA PRESHA WATZ WANATAKA MABADILIKO NA HATUTAKUBALI TUNASEMA SASA BAAASSSIII....!!!!!
 
Ni sawa, lakini swali ni; je hizo kanuni zao zinaminya au zinatoa uhuru wa upashanaji habari?! Tatizo siyo tu kuvunja kanuni, hivi hizo kanuni haziingilii kanuni nyingine za maisha za uhuru wa kupata habari? Kwanini vyombo vyetu vya babari vinashindwa kutangaza Habari za upinzani, na ikitangazwa ndo inaonekana kanuni zimevunjwa?!
 
BBC kwa mara ya kwanza toka nimezaliwa inakwenda kupigwa marufuku sijajua kwa nini huu utwawala licha ya kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati kabla ya wakati,kukusanya kodi kuliko serikali zote,kujenga miundombinu kuliko serikali zote,kumaliza ufisadi kuliko serikali zote bado wanakuwa waoga wa chama dhaifu na kilichojifia kama CHADEMA
 
Kule hakuna kanuni za hovyo kama hizi za ccm
 
Hofu ya Lissu
 
Watu wote ndvyo wanavyojua kwamba atapata 90%. Lkn swali la msingi ni.....MNAOGOPA NINI?
 
Huu upuuzi wako uliouandika ungeupostia wapi kama na social media nazo unataka zifungiwe ?!
 
Ujazuiwa kupata habari mbona kanuni zipo ni self explanatory kipi kinaweza kuwaletea utata. Misrepresentation ni sababu moja wapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…