Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Aisee chanzo kikuu cha machafuko huku africa ni sisi wenyewe. Wenyewe kwa wenyewe.Mkumbuke tu, vyombo vya habari hasa vya nje ya nchi ndio huwa chanzo cha machafuko na kutoweka kwa amani katika mataifa mengi duniani hasa Africa, hii ni hatua nzuri kudhibiti mitafaruku inayotarajiwa kutokea...
Na tunaomba serikali ifungie na mitandao ya kijamii hasa Facebook na Twitter.
Labda wahusika wa maswala ya ulinzi wa Tanzania wamejifunza huko kwao mabeberu wanavyoweza punguza hathari zinazotokana na media kwenye kuhatarisha amani na umoja wao wakati sisi huku wanataka media zetu zifanye kazi kiholela na kuatarisha usalama wetu.Madictator wote huwa na watetezi wa aina yako. Hiyo BBC tumeanza kuisikiliza miaka na miaka, hakukuwa na tatizo, ila tatizo limeanza baada ya magu kuwa rais wa nchi hii!
Sema baadhi ya wanasiasa sio rais as raisAisee chanzo kikuu cha machafuko huku africa ni sisi wenyewe. Wenyewe kwa wenyewe.
Kwanza tamaa ya uongozi kwa baadhi ya marais..
Vyombo vya habari vya ndani. (Rwanda na burundi ni mfano mzuri.)
Hahaha...kama uliambiwa Taifa ni wewe na mmeo ulidanganywa, hupendi kitu the majority wanapenda na huko na amani nacho dawa ni kuhama nchi, hiyo ndo demokrasia, majority rules, kama huko na uhakika sana October sio mbali, JPM hatopata chini ya 90% ya kura zote.Mkiwa CCM mnajiona mna haki na wasio CCM hawana haki! Mwisho wenu umefika.
Mmeleta siasa za hovyo hovyo,siasa za chuki, ubaguzi, uchafuzi, matusi, kejeli, watu wamekaa kimyaa, sasa mnataka tuhame nchi kisa hatukubaliani na nchi inavyoendeshwa!? Toa ushetani wako hapa.
Yaani mmeua umoja wa kitaifa, mshikamano wa kitaifa na upendo wa kitaifa, halafu watu wakisema, mnawaambia wahame nchi, kweli mmevimbiwa, na wakati wenu umeisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa, lakini swali ni; je hizo kanuni zao zinaminya au zinatoa uhuru wa upashanaji habari?! Tatizo siyo tu kuvunja kanuni, hivi hizo kanuni haziingilii kanuni nyingine za maisha za uhuru wa kupata habari? Kwanini vyombo vyetu vya babari vinashindwa kutangaza Habari za upinzani, na ikitangazwa ndo inaonekana kanuni zimevunjwa?!Unacheza wewe soma hizo kanuni na sheria zake ndio utaelewa. Unaweza kuona labda blogs zao watu wanaandika ovyo kama vile amna control.
Lakini huko kwao BBC1, BBC2, ITV, Channel4 na Channel5 hizo ndio main channel UK wajaribu kuvunja ata kanuni ndogo waone cha mtema kuni hao ata vipindi vyao kwa siku asimikia lazima viwe UK made kulinda utamaduni wao.
Wanayo pesa?
Utakuta hapo wanasubili beberu litume pesa za kampeni
Alafu wewe unaleta mambo ya tv?
Mwaka huu bila beberu mtakuwa tepe kama uji.
Kule hakuna kanuni za hovyo kama hizi za ccmUnacheza wewe soma hizo kanuni na sheria zake ndio utaelewa. Unaweza kuona labda blogs zao watu wanaandika ovyo kama vile amna control.
Lakini huko kwao BBC1, BBC2, ITV, Channel4 na Channel5 hizo ndio main channel UK wajaribu kuvunja ata kanuni ndogo waone cha mtema kuni hao ata vipindi vyao kwa siku asimilimia kubwa lazima viwe UK made kulinda utamaduni wao.
Hofu ya LissuBBC kwa mara ya kwanza toka nimezaliwa inakwenda kupigwa marufuku sijajua kwa nini huu utwawala licha ya kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati kabla ya wakati,kukusanya kodi kuliko serikali zote,kujenga miundombinu kuliko serikali zote,kumaliza ufisadi kuliko serikali zote bado wanakuwa waoga wa chama dhaifu na kilichojifia kama CHADEMA
Kwa uongozi huu itakuwa Kama miaka ishiriniSerikali hii tuungane kuiweka pembeni mwaka huu!
La sivyo miaka mitano ijayo itakuwa ya hovyo Sana!
Watu wote ndvyo wanavyojua kwamba atapata 90%. Lkn swali la msingi ni.....MNAOGOPA NINI?Hahaha...kama uliambiwa Taifa ni wewe na mmeo ulidanganywa, hupendi kitu the majority wanapenda na huko na amani nacho dawa ni kuhama nchi, hiyo ndo demokrasia, majority rules, kama huko na uhakika sana October sio mbali, JPM hatopata chini ya 90% ya kura zote.
Huku Lissu kule Maalim mbona maccm yatakufa kwa presha mwaka huuHofu ya Lissu
Kwa nini wasiganye kama September 2017 kuliko kuanza kuharibu ajira za watu sasaHofu ya Lissu
Huu upuuzi wako uliouandika ungeupostia wapi kama na social media nazo unataka zifungiwe ?!Mkumbuke tu, vyombo vya habari hasa vya nje ya nchi ndio huwa chanzo cha machafuko na kutoweka kwa amani katika mataifa mengi duniani hasa Africa, hii ni hatua nzuri kudhibiti mitafaruku inayotarajiwa kutokea...
Na tunaomba serikali ifungie na mitandao ya kijamii hasa Facebook na Twitter.
Ujazuiwa kupata habari mbona kanuni zipo ni self explanatory kipi kinaweza kuwaletea utata. Misrepresentation ni sababu moja wapo.Ni sawa, lakini swali ni; je hizo kanuni zao zinaminya au zinatoa uhuru wa upashanaji habari?! Tatizo siyo tu kuvunja kanuni, hivi hizo kanuni haziingilii kanuni nyingine za maisha za uhuru wa kupata habari? Kwanini vyombo vyetu vya babari vinashindwa kutangaza Habari za upinzani, na ikitangazwa ndo inaonekana kanuni zimevunjwa?!
Main stream media kwa sasa hazina impact kubwa kama social networks tuhamie huko
Wewe wakibaki wabunge wote wa ccm bungeni utafaidika nini ?Mnahela ya bando?.kama mmeshindwa kujenga hata ofisi mtaiweza nchi.tuwe mashahidi,chadema wakirudi wabunge hata 5 mtakuwa mmejitahidi sana.