Radio imaan ni zaidi ya shule

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
407
Reaction score
178
Hii radio kila nisikilizapo napata kitu kipya na muhimu sana katika maisha yangu. Radio zote bongo zingekuwa kama radio Imaan hakika tungekuwa mbali sana. Nasikiliza Radio Imaan hapa mkombozi wa Tanzania. MUNGU IBARIK RADIO IMAAN,MUNGU IBARIK TANZANIA.
 
Surely men....!!!! i appreciate their agitation and activists for this f**kin country:target:
 
unakosea kaka, sio kila wanachofanya radio Iman ni chema, yaani we unaona wanapokaa na kujadili udini na na kulalamika eti serikali inaongozwa na mfumo kristo ni kweli? Kwa mtazamo wangu ni kwamba, majadliano yao mengi yamejaa fikra za kidini na kibaguzi kitu ambacho kinaweza kulitumbukiza taifa kwenye giza.
 
Kweli redio iman ni nzuri kwa sababu ni moja ya chombo ambacho kinafanya kazi ya mungu pamoja na kuelimisha jamii kiujumula lakini tatizo ni moja tu UDINI iaache kwa sababu zaidi itangaze maneno ya mungu hapo tutaendele lasivyo hamnakitu tutakacho kifanya zaidi ya kusababisha machafuko,ni hayo.
 
Nina mashaka na uelewa wako unaposikiliza redio imani,redio muda wote mnalalamika tuu ooh waislamu tuaonewa na kupandikiza chuki dhidi ya wasio waislamu. Redio moja tabu. Mbona wakristo na wengine na stesheni nyingi za redio ila hakuna hata moja niliyowahi sikia wakilalamika wanaonewa au kukashifu imani za watu wengine. Mtalalama hadi lini na kupandikia chuki????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…