Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 726
- 320
Wadau,
Leo nataka nitoe bei ya vifaa vya kurushia matangazo, bei hii ni FOB.
1. Transmitter:TX1000 FM Transmitter (240V only) 25-1100 watts (adjustable) RF output powerTX1000 FM Transmitter (240V only) 25-1100 watts (adjustable) RF output power
Bei yake ni Tshs: 9,639,960/=
Ikifungwa vizuri eneo zuri lisilozungukwa na miinuko inaweza kurusha matangazo kati ya Kilomita 100 mpaka 200.
2. Transmitter: Sielco 2000Watts inauzwa Tshs 18,331,200/= inauwezo wa kurusha matngazo kati ya kilomita 200 mpaka 400 kutegemeana na eneo lilivyo.
3. 2KW 4x114FM antenna with power divider and interconnecting c ables 50m low loss cable. Hii ni antena ya radio yenye antena 4 ya 4 dipole, inauzwa Tshs 9,648,000/=
4. STL (Studio Transmitter Link) STL 398 – 399.9 MHz with 2x9dB yagi antenna and 2x 50m low loss cables antenna clamps and cable clamps (mitambo ya kurusha matangazo kutoka studio mpaka ulipo mnara wako.)
Inauzwa Tshs 9,648,000/=
Bidhaa zote hufika ndani ya wiki 2, ni kutoka Australia na UK.
Tuwasiliane: PM
Kwa maelezo ya kina juu ya kuanzisha radio station fungua hapa: https://www.jamiiforums.com/busines...gharama-halisi-za-kuanzisha-radio-kwa-tz.html
Leo nataka nitoe bei ya vifaa vya kurushia matangazo, bei hii ni FOB.
1. Transmitter:TX1000 FM Transmitter (240V only) 25-1100 watts (adjustable) RF output powerTX1000 FM Transmitter (240V only) 25-1100 watts (adjustable) RF output power
Bei yake ni Tshs: 9,639,960/=
Ikifungwa vizuri eneo zuri lisilozungukwa na miinuko inaweza kurusha matangazo kati ya Kilomita 100 mpaka 200.
2. Transmitter: Sielco 2000Watts inauzwa Tshs 18,331,200/= inauwezo wa kurusha matngazo kati ya kilomita 200 mpaka 400 kutegemeana na eneo lilivyo.
3. 2KW 4x114FM antenna with power divider and interconnecting c ables 50m low loss cable. Hii ni antena ya radio yenye antena 4 ya 4 dipole, inauzwa Tshs 9,648,000/=
4. STL (Studio Transmitter Link) STL 398 – 399.9 MHz with 2x9dB yagi antenna and 2x 50m low loss cables antenna clamps and cable clamps (mitambo ya kurusha matangazo kutoka studio mpaka ulipo mnara wako.)
Inauzwa Tshs 9,648,000/=
Bidhaa zote hufika ndani ya wiki 2, ni kutoka Australia na UK.
Tuwasiliane: PM
Kwa maelezo ya kina juu ya kuanzisha radio station fungua hapa: https://www.jamiiforums.com/busines...gharama-halisi-za-kuanzisha-radio-kwa-tz.html