Radio Wasafi vs. Clouds FM...

Radio Wasafi vs. Clouds FM...

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
 
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
 
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
 
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
Yani many any aso? What do u mean?
 
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
Jiulize kwanini uzi wako umekosa comments?
 
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
Tumewachoka au wewe ndo umewachoka..??? Usisemee mioyo ya watu. Epuka kuonesha mihemko hata kama una mapenzi au iterest na hiyo Wasafi Radio.

Naamini hata Diamond mwenyewe hawez kuonesha chuki ya wazi wazi kiasi hicho kwa Clouds. Yan wewe una hasira kuliko Diamond mwenyewe.
 
Redio haijengwi kwa siku moja hacheni upuuzi ni kweli clauds ina mapungufu yake lakini msiifananishe na vitu vya ajabuajabu iyo wasafi inasikika wapi mpaka muanze kuilinganisha na redio yenye zaidi ya miaka 10
 
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
King Kiba ana TV na Radio toka zamani sema tu hapendi kiki na show off.
 
Kwakweli Mungu yupo jamani

Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao...

Tunaamini WASAFI hawana njaa za kuwanyanyasa wasaniii WA aina yeyote huko mbeleni

Clouds Fm tumewachoka, Mungu anawaooonaaa...
Vipi EFM si mlisema imekuja funika clouds na wasanii wamepata kimbilio mbona mpaka sasa hollah..
Clouds itabaki kuwa clouds mpaka Muumba atakaposema basi hiyo wasafi redio mpaka sasa bado haijaanza mshaanza kuicompare na clouds
 
Back
Top Bottom