Kwani likija wewe litakuacha
Pole sana!Vumilia mkuu. Wanasema "Zion train is coming our way".
Subiri baba. Laja, linakotoka kunawaka moto.
Walisema waungwana, "asiyejua kufa aangalie kaburi".
Kwa vile picha na maneno kuhusiana na makaburi yanayopigiwa kelele hayakutoshi, usikonde. Lisubirie treni la sayuni liko njiani.
Hilo treni litakugonga wewe na familia na ukoo wako wote ila watanzania utawaacha kama walivyoKumbe unajua?
Makelele yote haya si chumvi. Kuna treni linakuja ndiyo maana kuna makelele ya kulisimamisha ili mimi na wewe na yule ambao halijatufikia lisitufikie yaani lituache.
Sasa kudai makwenu hujaliona sasa unataka lije maana huridhiki na makelele tu. Wataka kuliona. Ndiyo maana nikasema kama walitaka lisubirie.
Tanzania ni sehemu ya duniaBadala ya kujadili nchi zao zenye wagonjwa na vifo vya kupindukia, wanaijadili Tanzania. Halafu nawwe ulivyo mpuuzi unatuletea mada ya kijinga hapa.
Saa ngapi mkuu?Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.
Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.
Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Wanitafute Mimi niwe mmoja wao wa watakaoongea...siyo wanawapanga watu wa kuongea...Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.
Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.
Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.
Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.
Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Mortality and Natality rate are something unavoidableKumbe unajua?
Makelele yote haya si chumvi. Kuna treni linakuja ndiyo maana kuna makelele ya kulisimamisha ili mimi na wewe na yule ambao halijatufikia lisitufikie yaani lituache.
Sasa kudai makwenu hujaliona sasa unataka lije maana huridhiki na makelele tu. Wataka kuliona. Ndiyo maana nikasema kama walitaka lisubirie.
Mortality and Natality rate are something unavoidable
Hilo treni litakugonga wewe na familia na ukoo wako wote ila watanzania utawaacha kama walivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
RubbishLeo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.
Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.
Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Takataka hiiLeo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.
Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.
Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.