Radio ya USA leo watajadili Serikali ya Tanzania kukataa(Denial) ukweli wa Corona

Radio ya USA leo watajadili Serikali ya Tanzania kukataa(Denial) ukweli wa Corona

Ebu semeni sasa mnataka magufuli afanye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu wewe kama tangia kabla ya ugonjwa kuingia hujui ilitakiwa afanye nini kuzuia ugonjwa kuingia, na hata leo kama hujui alitakiwa kufanya nini kuzuia ugonjwa kusambaa baada ya kuwa ugonjwa umeingia alitakiwa afanye nini ili ugonjwa usisambae, na hata sasa kama kweli hujui wanaolalamika wangependa afanye nini, kweli hata ukiambiwa sasa, utaelewa kweli mkuu?

Wewe komaa na genge tu mkuu, huku utajichosha bure.
 
Kwani likija wewe litakuacha

Kumbe unajua?

Makelele yote haya si chumvi. Kuna treni linakuja ndiyo maana kuna makelele ya kulisimamisha ili mimi na wewe na yule ambao halijatufikia lisitufikie yaani lituache.

Sasa kudai makwenu hujaliona sasa unataka lije maana huridhiki na makelele tu. Wataka kuliona. Ndiyo maana nikasema kama walitaka lisubirie.
 
Vumilia mkuu. Wanasema "Zion train is coming our way".

Subiri baba. Laja, linakotoka kunawaka moto.

Walisema waungwana, "asiyejua kufa aangalie kaburi".

Kwa vile picha na maneno kuhusiana na makaburi yanayopigiwa kelele hayakutoshi, usikonde. Lisubirie treni la sayuni liko njiani.
Pole sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe unajua?

Makelele yote haya si chumvi. Kuna treni linakuja ndiyo maana kuna makelele ya kulisimamisha ili mimi na wewe na yule ambao halijatufikia lisitufikie yaani lituache.

Sasa kudai makwenu hujaliona sasa unataka lije maana huridhiki na makelele tu. Wataka kuliona. Ndiyo maana nikasema kama walitaka lisubirie.
Hilo treni litakugonga wewe na familia na ukoo wako wote ila watanzania utawaacha kama walivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada ukipata nafasi ya kuuliza swali kwenye mjadala huo, waulize

1. kwa nini jijini New York, wanalazimisha kila mgonjwa anayefariki anahusishwa na Covid19 bila hata udhibitisho?
2. Kwa nini UK wamebadili utaratibu wa rasmi wa kutoa death certificates nyakati hizi covid19?
 
Badala ya kujadili nchi zao zenye wagonjwa na vifo vya kupindukia, wanaijadili Tanzania. Halafu nawwe ulivyo mpuuzi unatuletea mada ya kijinga hapa.
Tanzania ni sehemu ya dunia
 
Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.

Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.

Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Saa ngapi mkuu?
 
Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.

Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.

Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Wanitafute Mimi niwe mmoja wao wa watakaoongea...siyo wanawapanga watu wa kuongea...
 
Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.

Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.

Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.

NPR Choice page

Text-Only NPR.org
 
Kumbe unajua?

Makelele yote haya si chumvi. Kuna treni linakuja ndiyo maana kuna makelele ya kulisimamisha ili mimi na wewe na yule ambao halijatufikia lisitufikie yaani lituache.

Sasa kudai makwenu hujaliona sasa unataka lije maana huridhiki na makelele tu. Wataka kuliona. Ndiyo maana nikasema kama walitaka lisubirie.
Mortality and Natality rate are something unavoidable
 
Hiivi kweli jamaa anatuonesha kua ni nyoro kiasi hiki


Kweli ukae chattel kukimbia Covid-19 na kuwaacha wapiga kura mjini?

Amir jeshi muoga namna hii

Kwenye majanga yote kiongozi wewe si wa mfano

Kuna mahali tumetokwa na maarifa

Tunaona ila upo wakati tutaamua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa, tupunguze masihara jamani. Hakuna redio serious Marekani itatumia muda wake kujadili eti Corona ya Tanzania, achilia mbali Ebola ambayo ilikuwa issue kwa bara la Afrika tu. Corona ya Tanzania ni none-issue kwa Wamarekani ambao kimsingi imewapiga kiasi kwamba hawana hakika kesho yao itakuwaje - vifo vinaongezeka na uchumi unaporomoka vilevile.
 
Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.

Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.

Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Rubbish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku.

Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine zikifikiria kufanya hivyo baada ya mipaka yao na Tanzania kuwa na wagojwa wengi.

Tutasema Mabeberu lakini wanao ongea ni wananchi wa nchi jirani na Watanzania wenyewe.
Takataka hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom