Rafiki anapokuwa tena si Rafiki, Anaumiza sana

Rafiki anapokuwa tena si Rafiki, Anaumiza sana

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Rafiki yangu ana changamoto kidogo ya kazi. Ni muda. Nami nimekuwa kwenye changamoto hiyo kwa muda ila nikajiajiri na maisha yanaendelea.

Kwa wale ambao tunajiajiri kuandika andika projects au kufanya kazi za watu kwa makubaliano huwa siku hazilingani. Siku zote si jumapili.

Rafiki huyu (si wakaribu sana) tulikutana kwenye makundi haya ya whatsapp. Tukazoeana na kuendelea kufahamiana na nimeshawahi onana naye mara moja tu toka mwaka 2015 kama sikosei. Amekuwa anapokwama ananitumia msg. Nami naangalia nina nini namrushia.

Naelewa sana suala la uchumi kuyumba hasa kwa mtu mwenye mke na watoto. Huwa siwazi mara mbilimbili kabisa. Mtu akisema tu hana chakula nyumbani naangalia kwenye simu nina tsh ngapi.

Kama wiki mbili ago alinitumia msg kuwa anahitaji nimsaidie pesa. Nikamwambia sipo vizuri kiukweli.na ndiyo uhalisia ulivyokuwa. Bahati mbaya sometime mtu anaweza kukuona unaendesha gari aka conclude tu wewe pesa unazo. Kumbe mimi huwa naweka Fuel hata ya 150,000 pesa ikiwepo. Then natulia tu coz naelewa kwangu gari nikitendea kazi.

Baada ya kumjibu vile imekuwa nikipiga simu hapokei. Nikipiga simu anakata. Nlipata pesa kiasi flani nikaona nimtafute. Basi nikipiga simu ili aniambie nitume kwa namba gani ya Wakala. Anakata. Au hapokei. Ameamua tu kunyamaza.

Nikawaza sababu ni mimi kumwambia sikuwa na pesa? Kitu ambacho ni kweli ndo ameamua kuninyamazia? Kwenye group tunaonana namwona anapost some stuff ila nikipiga simu hapokei. Nimesikitika na kuumia. Amesahau mara zote ambazo nimekuwa nikimwezesha hata pasopo kuniomba sometime. Hasa wakati wa sikukuu.
 
Japo mada haihusu mapenzi ila mtu akisema mapenzi ni PESA inafananga na stuation Kama hii unajikuta upo single tiali.
 
Rafiki yangu ana changamoto kidogo ya kazi. Ni muda. Nami nimekuwa kwenye changamoto hiyo kwa muda ila nikajiajiri na maisha yanaendelea.

Kwa wale ambao tunajiajiri kuandika andika projects au kufanya kazi za watu kwa makubaliano huwa siku hazilingani. Siku zote si jumapili.

Rafiki huyu (si wakaribu sana) tulikutana kwenye makundi haya ya whatsapp. Tukazoeana na kuendelea kufahamiana na nimeshawahi onana naye mara moja tu toka mwaka 2015 kama sikosei. Amekuwa anapokwama ananitumia msg. Nami naangalia nina nini namrushia.

Naelewa sana suala la uchumi kuyumba hasa kwa mtu mwenye mke na watoto. Huwa siwazi mara mbilimbili kabisa. Mtu akisema tu hana chakula nyumbani naangalia kwenye simu nina tsh ngapi.

Kama wiki mbili ago alinitumia msg kuwa anahitaji nimsaidie pesa. Nikamwambia sipo vizuri kiukweli.na ndiyo uhalisia ulivyokuwa. Bahati mbaya sometime mtu anaweza kukuona unaendesha gari aka conclude tu wewe pesa unazo. Kumbe mimi huwa naweka Fuel hata ya 150,000 pesa ikiwepo. Then natulia tu coz naelewa kwangu gari nikitendea kazi.

Baada ya kumjibu vile imekuwa nikipiga simu hapokei. Nikipiga simu anakata. Nlipata pesa kiasi flani nikaona nimtafute. Basi nikipiga simu ili aniambie nitume kwa namba gani ya Wakala. Anakata. Au hapokei. Ameamua tu kunyamaza.

Nikawaza sababu ni mimi kumwambia sikuwa na pesa? Kitu ambacho ni kweli ndo ameamua kuninyamazia? Kwenye group tunaonana namwona anapost some stuff ila nikipiga simu hapokei. Nimesikitika na kuumia. Amesahau mara zote ambazo nimekuwa nikimwezesha hata pasopo kuniomba sometime. Hasa wakati wa sikukuu.
Yeye amewahi kukusaidia?
 
Seems wewe ndio ulikuwa unamsaidia sana msela,,vipi yeye amewahi kufanya the same?
 
Rafiki yangu ana changamoto kidogo ya kazi. Ni muda. Nami nimekuwa kwenye changamoto hiyo kwa muda ila nikajiajiri na maisha yanaendelea.

Kwa wale ambao tunajiajiri kuandika andika projects au kufanya kazi za watu kwa makubaliano huwa siku hazilingani. Siku zote si jumapili.

Rafiki huyu (si wakaribu sana) tulikutana kwenye makundi haya ya whatsapp. Tukazoeana na kuendelea kufahamiana na nimeshawahi onana naye mara moja tu toka mwaka 2015 kama sikosei. Amekuwa anapokwama ananitumia msg. Nami naangalia nina nini namrushia.

Naelewa sana suala la uchumi kuyumba hasa kwa mtu mwenye mke na watoto. Huwa siwazi mara mbilimbili kabisa. Mtu akisema tu hana chakula nyumbani naangalia kwenye simu nina tsh ngapi.

Kama wiki mbili ago alinitumia msg kuwa anahitaji nimsaidie pesa. Nikamwambia sipo vizuri kiukweli.na ndiyo uhalisia ulivyokuwa. Bahati mbaya sometime mtu anaweza kukuona unaendesha gari aka conclude tu wewe pesa unazo. Kumbe mimi huwa naweka Fuel hata ya 150,000 pesa ikiwepo. Then natulia tu coz naelewa kwangu gari nikitendea kazi.

Baada ya kumjibu vile imekuwa nikipiga simu hapokei. Nikipiga simu anakata. Nlipata pesa kiasi flani nikaona nimtafute. Basi nikipiga simu ili aniambie nitume kwa namba gani ya Wakala. Anakata. Au hapokei. Ameamua tu kunyamaza.

Nikawaza sababu ni mimi kumwambia sikuwa na pesa? Kitu ambacho ni kweli ndo ameamua kuninyamazia? Kwenye group tunaonana namwona anapost some stuff ila nikipiga simu hapokei. Nimesikitika na kuumia. Amesahau mara zote ambazo nimekuwa nikimwezesha hata pasopo kuniomba sometime. Hasa wakati wa sikukuu.
Hutaeleweka na wengi hapa jukwaani
Sababu watasema mbona huyo ni wa kiume achana naye mara usimbembeleze mtu .

Ila napenda kukiri kuwa mtu aliyekwisha kuwa rafiki yako na ukamuweka moyoni as friend aisee ikitokea anaamua kusitisha urafiki inauma sana.

Pole sana ndugu but sikushauri kumpigia tena ila you just take your phone and write a strong and good message kuelezea nini kilitokea na pia unawish ukutane naye muongee .

Ikiwa hatojibu dear friend achana naye ipo siku atarudi ikiwa aliudhamini urafiki wenu .

Mimi pia nilipotezana na rafiki yangu kipenzi but naamini muda ni mwalimu tutakuja kuwa kama zamani
 
Rafiki yangu ana changamoto kidogo ya kazi. Ni muda. Nami nimekuwa kwenye changamoto hiyo kwa muda ila nikajiajiri na maisha yanaendelea.

Kwa wale ambao tunajiajiri kuandika andika projects au kufanya kazi za watu kwa makubaliano huwa siku hazilingani. Siku zote si jumapili.

Rafiki huyu (si wakaribu sana) tulikutana kwenye makundi haya ya whatsapp. Tukazoeana na kuendelea kufahamiana na nimeshawahi onana naye mara moja tu toka mwaka 2015 kama sikosei. Amekuwa anapokwama ananitumia msg. Nami naangalia nina nini namrushia.

Naelewa sana suala la uchumi kuyumba hasa kwa mtu mwenye mke na watoto. Huwa siwazi mara mbilimbili kabisa. Mtu akisema tu hana chakula nyumbani naangalia kwenye simu nina tsh ngapi.

Kama wiki mbili ago alinitumia msg kuwa anahitaji nimsaidie pesa. Nikamwambia sipo vizuri kiukweli.na ndiyo uhalisia ulivyokuwa. Bahati mbaya sometime mtu anaweza kukuona unaendesha gari aka conclude tu wewe pesa unazo. Kumbe mimi huwa naweka Fuel hata ya 150,000 pesa ikiwepo. Then natulia tu coz naelewa kwangu gari nikitendea kazi.

Baada ya kumjibu vile imekuwa nikipiga simu hapokei. Nikipiga simu anakata. Nlipata pesa kiasi flani nikaona nimtafute. Basi nikipiga simu ili aniambie nitume kwa namba gani ya Wakala. Anakata. Au hapokei. Ameamua tu kunyamaza.

Nikawaza sababu ni mimi kumwambia sikuwa na pesa? Kitu ambacho ni kweli ndo ameamua kuninyamazia? Kwenye group tunaonana namwona anapost some stuff ila nikipiga simu hapokei. Nimesikitika na kuumia. Amesahau mara zote ambazo nimekuwa nikimwezesha hata pasopo kuniomba sometime. Hasa wakati wa sikukuu.
Mungu kaamua kukuonyesha kama huyo sio rafiki ni taka taka achana nae kabisa
 
Aisee msaidie Mkuu now Maisha Magumu Sana hasa kwa walioa Ni hatari
 
Mkuu Mungu amekuonyesha huyo si rafiki mwema, muda wote anajua we uko na pesa umekosa amenuna achana naye kaa kimya siku akijua umuhimu wako atakutafuta.

Halafu rafiki anayependa ye umpe tu sio je alivyokuwa na kazi alishawahi kukupa chochote kama rafiki
 
Rafiki yangu ana changamoto kidogo ya kazi. Ni muda. Nami nimekuwa kwenye changamoto hiyo kwa muda ila nikajiajiri na maisha yanaendelea.

Kwa wale ambao tunajiajiri kuandika andika projects au kufanya kazi za watu kwa makubaliano huwa siku hazilingani. Siku zote si jumapili.

Rafiki huyu (si wakaribu sana) tulikutana kwenye makundi haya ya whatsapp. Tukazoeana na kuendelea kufahamiana na nimeshawahi onana naye mara moja tu toka mwaka 2015 kama sikosei. Amekuwa anapokwama ananitumia msg. Nami naangalia nina nini namrushia.

Naelewa sana suala la uchumi kuyumba hasa kwa mtu mwenye mke na watoto. Huwa siwazi mara mbilimbili kabisa. Mtu akisema tu hana chakula nyumbani naangalia kwenye simu nina tsh ngapi.

Kama wiki mbili ago alinitumia msg kuwa anahitaji nimsaidie pesa. Nikamwambia sipo vizuri kiukweli.na ndiyo uhalisia ulivyokuwa. Bahati mbaya sometime mtu anaweza kukuona unaendesha gari aka conclude tu wewe pesa unazo. Kumbe mimi huwa naweka Fuel hata ya 150,000 pesa ikiwepo. Then natulia tu coz naelewa kwangu gari nikitendea kazi.

Baada ya kumjibu vile imekuwa nikipiga simu hapokei. Nikipiga simu anakata. Nlipata pesa kiasi flani nikaona nimtafute. Basi nikipiga simu ili aniambie nitume kwa namba gani ya Wakala. Anakata. Au hapokei. Ameamua tu kunyamaza.

Nikawaza sababu ni mimi kumwambia sikuwa na pesa? Kitu ambacho ni kweli ndo ameamua kuninyamazia? Kwenye group tunaonana namwona anapost some stuff ila nikipiga simu hapokei. Nimesikitika na kuumia. Amesahau mara zote ambazo nimekuwa nikimwezesha hata pasopo kuniomba sometime. Hasa wakati wa sikukuu.
Nikutumie no mkuu uitume kwangu?

Huyo jamaa alidhani msaada ni haki yake
 
Back
Top Bottom