Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nzuri sana hii.Usinipe bia nipe Dili.
Unanipa bia ili iweje, nipe Dili Bwana.
Nipe Dili ili ukinunua bia mimi ninunue nyama choma.
Kwanini hutaki team Work?
Kwanini wewe hutaki nami niwe Na changu?
Kwanini unataka niendelee kuwa mpambe wako?
Kwanini unataka kuendelea kunitumikisha?
Nipe Dili usinipe bia.
Dah...! Buji nitafanya kolabo nawe tutoe singoUsinipe bia nipe Dili.
Unanipa bia ili iweje, nipe Dili Bwana.
Nipe Dili ili ukinunua bia mimi ninunue nyama choma.
Kwanini hutaki team Work?
Kwanini wewe hutaki nami niwe Na changu?
Kwanini unataka niendelee kuwa mpambe wako?
Kwanini unataka kuendelea kunitumikisha?
Nipe Dili usinipe bia.
Kuna mtu amesema mimi Na wewe ni mtu mmoja.Dah...! Buji nitafanya kolabo nawe tutoe singo
Siku ukija kilingeni Msata mwalikeKuna mtu amesema mimi Na wewe ni mtu mmoja.
Hah haaaa has 🙂🙂
Nitafanya hivyoSiku ukija kilingeni Msata mwalike
Waswahili wanasema ukitaka kwenda mbali, nenda Na mwenzako.Nipe dili ili ukinunu bia nami ninunue nyama choma.
Safi kabisa kuliko kumtegemea mtu Ni bora mtegemeane na msaidiane
Rafiki yako hapendi upendeze kuliko yeyeNzuri sana hii.
Hilo sio Dili, hiyo ni dhambi. Mshahara wa dhambi ni mautiSawa ila kuna madili sio poa kama hapa nmeletewa dili LA kuwa MTU asiyejulikana .. Bado nalifikiria !![emoji32][emoji124]
wachawi.watu wengi wapo hivyo
UmetishaaaNikupe dili ama bili?
Si una akili?
Kama huna tumia mwili,
Weita leta mbili mbili,
Balimi au safari.
Sitaki Shari
Maisha kamali
Safari
Ya mbali,
Usiende stendi kwa gari
Ni kanisani ukasali.
Muombe Mungu akupe ulijali
Usiwe tapeli
Wahuni we feri
Watakuchoma moto hatari.
Chorus
Nikupe bili au dili?X2
Nakuangalia nasema hiiiihiiii
Nkikupa dili utafungwa, mkeo atanyongwa na wanao watatengwa.
Kula vyombo na utumbo wa kuchoma kwa Rambo mzee wa majambo.
Verse
Dili dirisha
Unaweza pita mwisho ukaisha
Haya ni maisha
Usipende kubisha
Sorry
Weita bia badilisha
Leta Vant na Konyagi kabisaaa.................
Aiseee nashindwa kuendelea mjukuu kajisaidia ngoja nkamsafishe ntarudi labda....
Hiyo inaitwa channel of distribution. mnatengeneza network ya kusaidiana. Kamwe khamtadondoka iwapo mtafanya kwa moyo Na kwa uaminifuUkipewa dili na wewe utoe dili mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah...! Buji nitafanya kolabo nawe tutoe singo