BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,376
- 4,222
Jana nilishinda nyumbani siku nzima, sikuwa kazi nilijipea off, Sasa kabla siku haijaisha alikuja beshte yangu katika story nikamuelezea Biashara ambazo nataka kufanya ili anishauri.
Alinipa Ushauri wa kutosha lakini ushauri mkubwa aliyoniambia ni huu[emoji1484] nanukuu "Unajua kuna Baraka nyingi sana katika kufanya mambo yako kimya kimya, Midomo ya watu ila laana nyingi sana pale wanapo gundua jambo lako"
Baada ya kunambia hivyo nilitafakari sana na nikahisi tayari nishaharibu kila kitu kwasababu kama aliyoniambia ni kweli basi hata yeye nilitakiwa nisimshirikishe katika hili, nina uhakika gani kama Mdomo wake hauna Laana, halafu issue yenyewe ni Biashara na Biashara inataka matangazo hapa mtu unatokaje kwa ushauri huo hapo juu
Mnaofanya Kazi au Biashara ebu tuambieni watu wenu wa karibu hawajui Kazi/Biashara zenu mnazozifanya? Na kama wanajua unahisi Wana Athari yoyote katika kile unachokifanya?
Alinipa Ushauri wa kutosha lakini ushauri mkubwa aliyoniambia ni huu[emoji1484] nanukuu "Unajua kuna Baraka nyingi sana katika kufanya mambo yako kimya kimya, Midomo ya watu ila laana nyingi sana pale wanapo gundua jambo lako"
Baada ya kunambia hivyo nilitafakari sana na nikahisi tayari nishaharibu kila kitu kwasababu kama aliyoniambia ni kweli basi hata yeye nilitakiwa nisimshirikishe katika hili, nina uhakika gani kama Mdomo wake hauna Laana, halafu issue yenyewe ni Biashara na Biashara inataka matangazo hapa mtu unatokaje kwa ushauri huo hapo juu
Mnaofanya Kazi au Biashara ebu tuambieni watu wenu wa karibu hawajui Kazi/Biashara zenu mnazozifanya? Na kama wanajua unahisi Wana Athari yoyote katika kile unachokifanya?