wewe utakua ni mzuri sana..... me nimekuelewa vizuri sana dada yangu... ila urafiki haungaliii umri... unakumbuka urafiki wa Nathan na Daudi ktk bible??? umri wao haukua tatizo.. mimi nipo radhi tuwe marafiki ingawa umri uliotaja hapo sijafikia... twende PM??????
wabaya ndo wapoje rafiki?
umri wangu upo katika hiyo range, pm
Hongera kwa kujitambua japo bado hujatambulika
Mbna wajisifia kwa ubaya wa nje ? Je waamin sura ni muhimu kuliko moyo?mara nyingi mtu unajitambua baada ya kutambulika.
Mbna wajisifia kwa ubaya wa nje ? Je waamin sura ni muhimu kuliko moyo?
kumbe wakubwa tu basi piteni mi nipo nasubiri
ndo maana nikaweka sifa zote, za nje na moyoni. au hujasoma vizuri?
wabaya wengi watamu..............!!
Unafanya kaz gn?
mmmmh,,, we jamaa wewe! hata urafiki bado unaulizia kazi! au unatafuta mchumba nini!
Nataka nijue