4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wakuu uwepo wa Mungu upo juu yenu
Kwenye mada moja kwa moja wakuu
Naomba kuweka hili jambo wazi, rafiki yako ni wewe mwenyewe, ongeza na wazazi wako basi.
Unaweza kuwa na rafiki wa karibu wakakutenda, unaweza kuwa na ndugu wa karibu aka kutenda ila wewe mwenyewe huwezi ukajitenda, baba yako au mama yako ni viigum kukutenda japo inaweza tokea. TUMEONA tukio la malaika kule kagera.⁷
Mpaka sasa naandika uzi huu Tanzania ipo kwenye vita ya raia na vyombo vya dola ,namanisha nini hapa!
Kuna kijana alitekwa na kutupwa huko hifadhi ya Katavi na yuko na maumivu makubwa sana , je nani aweza kuwa na ujasiri huu kama hana baraka ya juu? Tafakari hii
Mwenye amri nchi hii ya kutangaza hari ya hatari ni Rais wa JMT basi, ikiwezekana afanye hivyo, tusije kuwa tunalaum vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kumbe wapo watu toka nje ya nchi yetu wakifanya umafia wa namna hii.
Aliekua diwani na Mayor wa Dar ndugu Boniface ( ak.a bony yai ) ametoa orodha ya watu waliopotea pitia mtandao wa × zamani tweeter .
Sasa ni muda wa vyombo vyetu toa majibu wako wapi? Vinginevyo tutawatuhum moja kwa moja , naiona hatari kuu pindi wanyonge wakihamua tafuta haki zao kwa jasho na damu
Thanks
HII UKUFIKIE
1. IGP
2. CDF
3.RAIS WA NCHI
Kwenye mada moja kwa moja wakuu
Naomba kuweka hili jambo wazi, rafiki yako ni wewe mwenyewe, ongeza na wazazi wako basi.
Unaweza kuwa na rafiki wa karibu wakakutenda, unaweza kuwa na ndugu wa karibu aka kutenda ila wewe mwenyewe huwezi ukajitenda, baba yako au mama yako ni viigum kukutenda japo inaweza tokea. TUMEONA tukio la malaika kule kagera.⁷
Mpaka sasa naandika uzi huu Tanzania ipo kwenye vita ya raia na vyombo vya dola ,namanisha nini hapa!
Kuna kijana alitekwa na kutupwa huko hifadhi ya Katavi na yuko na maumivu makubwa sana , je nani aweza kuwa na ujasiri huu kama hana baraka ya juu? Tafakari hii
Mwenye amri nchi hii ya kutangaza hari ya hatari ni Rais wa JMT basi, ikiwezekana afanye hivyo, tusije kuwa tunalaum vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kumbe wapo watu toka nje ya nchi yetu wakifanya umafia wa namna hii.
Aliekua diwani na Mayor wa Dar ndugu Boniface ( ak.a bony yai ) ametoa orodha ya watu waliopotea pitia mtandao wa × zamani tweeter .
Sasa ni muda wa vyombo vyetu toa majibu wako wapi? Vinginevyo tutawatuhum moja kwa moja , naiona hatari kuu pindi wanyonge wakihamua tafuta haki zao kwa jasho na damu
Thanks
HII UKUFIKIE
1. IGP
2. CDF
3.RAIS WA NCHI