princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Ha ha haaaaa...Njia hii ya kutafuta mchumba nimeipenda ngoja na mimi niijaribu!
Unaonekana unachokitafuta hukijui we andika tu nafuta mchumba, rafiki wakike hata ndugu yako jiran mtoto wa mjombaHiyo haina mahusiano na ninachohitaji na hata nikikuambia hasaidii kitu kwakuwa huwezi prove kama ni kweli au la. Chamsingi nahitaji rafiki wa kawaida wa kike mwenye kujielewa kuwa yeye ni mwanamke haswa.
Msaidie kijana wa watu anahangaika*anaweza akajaribu*?
haya Mkuu utapata wapo wanaojiamini ,kila la kheir
Sio wa level hiyo mimiUnaonekana unachokitafuta hukijui we andika tu nafuta mchumba, rafiki wakike hata ndugu yako jiran mtoto wa mjomba
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Msaidie kijana wa watu anahangaika
Kumbe..hizi ndo level zako p kila lakher mkuu hlo jina lako linanikumbusha kijiji fulan huko mbali sana mkoanSio wa level hiyo mimi
Ndio kwetu hukoKumbe..hizi ndo level zako p kila lakher mkuu hlo jina lako linanikumbusha kijiji fulan huko mbali sana mkoan
Duh!mkuu kuna mwaka fulani uliweka bango la kuhitaji rafiki wa kike hukufanikiwa ? mliishia wapi ? hakukidhi vigezo ?
dizaini kaumri kamesogea, huna familia ? najitahidi sana nisiruke steji nisije umbuka.
haka kambinu ulikokatumia kuonekana huishi tz katakusaidia, all the best.
Hahahaha[emoji3]Uwe tayari kurusha miamala ya bundle ili tupate video calls clear