Mtundu wa Tech
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 642
- 609
Mimi ni mwanaume mpenda mambo ya Teknolojia hasa hasa kwenye software.
Napenda sana kumpata rafiki wa kike wa kuchat nae kama kupunguza stress tu za mizunguko.
Kwa yeyote alie tayari ani-PM tu.
Sichagui umri yeyote awe bint au mama mtu mzima sawa tu maana ninachopenda sana mimi ni kuchat huku nikishare nae kuhusu hizi Tech Tricks na kuunda Tech Tricks Team(T3)
Napenda sana kumpata rafiki wa kike wa kuchat nae kama kupunguza stress tu za mizunguko.
Kwa yeyote alie tayari ani-PM tu.
Sichagui umri yeyote awe bint au mama mtu mzima sawa tu maana ninachopenda sana mimi ni kuchat huku nikishare nae kuhusu hizi Tech Tricks na kuunda Tech Tricks Team(T3)