Pirate of Carribean
Senior Member
- Sep 4, 2019
- 116
- 189
MeWe n ke au me
Ona vijana wetu mnavyokosea hutaki rafiki wa kiume mwenzio ili akupe hayo ma experience ya maisha ?Mamboz. Natafuta rafik wakike wa kubadilishana nae nawazo, life sharing experience in defferent stuffs n others. AGE kunzia 18
Miak yangu ni 26. If ur intrested my pm ipo wazi.
Ona vijana wetu mnavyokosea hutaki rafiki wa kiume mwenzio ili akupe hayo ma experience ya maisha ?
Au unalenga ngono tu?
Mfano kuna kijana ana degree yake ya uchumi kwa sasa ana duka la kawaida na genge je hatoshi kukupatia experience ya maisha ?
Fikiri upya ulichoandika
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]C useme tu kama unatafuta dem mbona unazunguka sana