Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhambi yako ya ukabila itakutafuna..tu wewe...duuh siamini up to this day kuna watu mpo nyuma kiasi hicho,,tribalism..no wonder age imekutupa kwa kuchagua chagua tu kabila enh...unapochagua sana unatoka kapa kwa taarifa yako..amini hivyo ova...Niko jamvini natafuta rafiki wa kiume aliye serious kuwa mume, awe na imani ya kikristo hanywi pombe na havuti sigara, awe na miaka kati ya 35-45, awe na mtazamo wa kuishi kokote ila kuthamini na kupenda nyumbani bongo, ambaye hajawahi kuoa. Awe mchaga kwa kabila. Mimi ni mkristo, ni mchaga na ni mdada mcheshi, ninayejiheshimu tutakapowasiliana utapata kunifahamu mimi na familia niliyotokea na utadhibitisha hilo. Nitaweza kuwasiliana na walio makini tu.
ubarikiwe Vin.
Niko jamvini natafuta rafiki wa kiume aliye serious kuwa mume, awe na imani ya kikristo hanywi pombe na havuti sigara, awe na miaka kati ya 35-45, awe na mtazamo wa kuishi kokote ila kuthamini na kupenda nyumbani bongo, ambaye hajawahi kuoa. Awe mchaga kwa kabila. Mimi ni mkristo, ni mchaga na ni mdada mcheshi, ninayejiheshimu tutakapowasiliana utapata kunifahamu mimi na familia niliyotokea na utadhibitisha hilo. Nitaweza kuwasiliana na walio makini tu.