Rafiki wa kiume

Kwani shida iko wapi mkuu ili mradi kilichokusudiwa kipatikane
Shida ni kuwa siku hizi kumekuwa na matapeli wengi humu wakianzisha nyuzi kama hizi halaf baadae inagundulika kuwa ni mwanaume
 
Mkuu ulikimbia umande kama mimi!

Ila bado kwa navyojiamini nisharusha maombi PM liwalo na liwe. Sijaribiwi mimi.
Ndio mkuu mi ninempa ruhusa na vigezo vyangu nimeviweka hapa moja kwa moja...kama hana shida Niko tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nitafute....
 
Ndiyo maana mnaangukia mikono isiyostahiki, nadhani maana ya mahusiano umeitafsiri vibaya
 
I really hope you’re happy, and I hope you find someone who values your love but above all I can only wish you to be happy with a guy who loves you a lot more than last one because you deserve it. I hope you choose well.




Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
 
Afadhali paulinary alinikata maana ilikuja kugundulika ni mwanaume...

Leo sitawaangusha aseeh. Wasalimie Tanga
Jf tutakoma, kwahiyo mdada kujidai kote kule kumbe ni dume!!? Na utakuta pale lilikua kijiweni stori za kumwaga huku anawachora tu wadau
 
Jf tutakoma, kwahiyo mdada kujidai kote kule kumbe ni dume!!? Na utakuta pale lilikua kijiweni stori za kumwaga huku anawachora tu wadau
Ni nooma
 
unasema wewe wa kawaida ndo nini? mweusi .mwembamba.mfupi.mrefu au mweupe au ukoje? hebu jielezee kwa kifupi.

Vile vile umtakaye pia vigezo dini .umbile.rangi .

nasubiri majibu yako
 
Ngoja nirudi kwenye card la clinic nione umri ntarudi!

brain is the beautiful part of the body.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…