Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kuna walevi na wanywajiKila la kheri bidada ila to be honest hakuna mnywaji wa pombe kiasi hayupo
Shida ni kuwa siku hizi kumekuwa na matapeli wengi humu wakianzisha nyuzi kama hizi halaf baadae inagundulika kuwa ni mwanaumeKwani shida iko wapi mkuu ili mradi kilichokusudiwa kipatikane
Hivi kumbe ndoa siku hizi hadi kijana awe na elimu ya Chuo Kikuu!! Inamaana elimu ya Chuo ina-aply chumbani basi nashauri pia MTU aseme elimu ya nini,mfano digri ya ualimu,sanaa, dokta nk.
Sent using Jamii Forums mobile app[/QU nazan ataishi na chet cha degree na cyo mwanaume
Ndio mkuu mi ninempa ruhusa na vigezo vyangu nimeviweka hapa moja kwa moja...kama hana shida Niko tayariMkuu ulikimbia umande kama mimi!
Ila bado kwa navyojiamini nisharusha maombi PM liwalo na liwe. Sijaribiwi mimi.
Yuko sahihi kwa maana unaweza kuwa msomamaji ila haujasign up..Mtu kaingia leo tu jf anasema kulingana na uzoefu ameona wenzie wanapata...huyu sio mgeni
Habari zenu members wa MMU,
Mimi ni mdada umri miaka 26 years mkristo ninafanya kazi (mkoani) kutokana na nature ya kazi yangu nipo busy sana mpaka nakosa muda wa kujumuika na watu baada ya kupitiapitia mirejesho baadhi humu nikaona wengine wamefanikiwa na mimi nikaona niweke wazi kinachonisumbua nikiamini kuwa nitampata muonekano wangu ni wa kawaida tuu.
Sifa za nimtakae umri miaka 32, awe hajawahi kuoa (ndoa) elimu kuanzia bachelor asiye vuta sigara, mlevi hapana kama ni pombe awe anakunywa kiasi, awe na kazi au shughuli yoyote ya kujikwamua kimaisha kwa maelezo zaidi pm nipo serious mizaha hapana.
Nawasilisha
Ndoa za wasioelimika darasani (formal education) asilimia kubwa hudumu kinyume na hivyoElimu ni muhimu mkuu aliye elimika ni tofauti na asiye elimika
Ndiyo maana mnaangukia mikono isiyostahiki, nadhani maana ya mahusiano umeitafsiri vibayaHabari zenu members wa MMU,
Mimi ni mdada umri miaka 26 years mkristo ninafanya kazi (mkoani) kutokana na nature ya kazi yangu nipo busy sana mpaka nakosa muda wa kujumuika na watu baada ya kupitiapitia mirejesho baadhi humu nikaona wengine wamefanikiwa na mimi nikaona niweke wazi kinachonisumbua nikiamini kuwa nitampata muonekano wangu ni wa kawaida tuu.
Sifa za nimtakae umri miaka 32, awe hajawahi kuoa (ndoa) elimu kuanzia bachelor asiye vuta sigara, mlevi hapana kama ni pombe awe anakunywa kiasi, awe na kazi au shughuli yoyote ya kujikwamua kimaisha kwa maelezo zaidi pm nipo serious mizaha hapana.
Nawasilisha
Jf tutakoma, kwahiyo mdada kujidai kote kule kumbe ni dume!!? Na utakuta pale lilikua kijiweni stori za kumwaga huku anawachora tu wadauAfadhali paulinary alinikata maana ilikuja kugundulika ni mwanaume...
Leo sitawaangusha aseeh. Wasalimie Tanga
Ni noomaJf tutakoma, kwahiyo mdada kujidai kote kule kumbe ni dume!!? Na utakuta pale lilikua kijiweni stori za kumwaga huku anawachora tu wadau