Rafiki wa kiume

Hiyo apo juu no 5 asiwe na mpenzi awe kama wewe mbona kwa kwa mwanamme huo utakua mtihani? au ndio unajitafutia mwenyewe? kwani ww yey kua na mpenzi wake kunakukera nn? ulitaka rafiki sio b/f, kwenye sifa hizo humu JF hakuna wala kwenye hizo sifa 12 basi no 5 sahau kabisa humu kuna marijali yakisawasawa.
 
Akiwa na gf atakuwa hayuko available na mimi jamani besides sitaki kuharibu mahusiano ya watu
 

B/F na Rafiki wa kiume kunatofauti ?
Nauliza tu
 
Rombo ipi, Rombo Green View, Kimara au Rombo Mashati? Kama ni greenview nitakutambuaje?
Rombo ya girini viwu.....utanikuta nimevaa bulauzi ya njano...jinsi ya buluu...raba nyeusi na nywele nimenyoa.Natumai ukiniona hutorudi kinyume nyume.....
 

bebii sema tu unatafuta mpenzi ...kwanini umeorodhesha sifa zote hizo kama ni rafiki wa kawaida
 
Rombo ya girini viwu.....utanikuta nimevaa bulauzi ya njano...jinsi ya buluu...raba nyeusi na nywele nimenyoa.Natumai ukiniona hutorudi kinyume nyume.....
Hahahahaaaa!! a great offer! Nsubiri apo sa kum na moja!!
 
Naona vigezo vyote nimeshindwa hadi hicho chenye red, nakushauri umueleze kakayo atakuwa anafaa
 
Yaani masharti yote hayo utafikiri unanijua ndo ukaamua ku-paste sifa zangu hapo.But shida yangu moja tu, sintoweza kutekeleza kipengele # 4 halafu hapohapo eti niwe single,nsikudanganye ntakuibia tu dada yangu
 
Hahahahaaaa!! a great offer! Nsubiri apo sa kum na moja!!

Lizy kwani nawewe ulikuwa unatafuta?
Ungeanzisha thread yako, ona sasa wewe umejipatia jitu na huyu mtoto katoka kapa!
 
Lizy kwani nawewe ulikuwa unatafuta?Ungeanzisha thread yako, ona sasa wewe umejipatia jitu na huyu mtoto katoka kapa!
Mi sitaki kutangaza maana hata wakware watajitokeza...navizia watu wa maana kama Mkirua wajitokeze ndo nionyeshe interest.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…