Rafiki wa kiume

Heeeee we embu acha kuniharibia...Kwani umeambiwa mtu akikaa UngaLTD hawezi kutoka?!

Hivoeeee...wewe ulivo mshamba wa jiji!!!!! lazima ungeniomba kakako nkusindikize...
 
Lizy kwani nawewe ulikuwa unatafuta?
Ungeanzisha thread yako, ona sasa wewe umejipatia jitu na huyu mtoto katoka kapa!

Acha hizo mjini ujanja kupata. We unaorodhesha masharti kibao utampata wapi??
 
sa we lizy hapa kenye topic yangu umefata nini jamani mi nina shida wewe wkend nalala tu mwenzio
 
kwa upande wangu sifa zote ninazo isipokuwa namba sita ni tatizo. Nitagharamia kila kitu.
 
Tall,kama namba 6 ni tatizo umesha ji disqualify mwenyewe.................niachie p'se, au kama Lizzy yupo single nadhani aniweke wazi nipeleke maombi...............
 
sa we lizy hapa kenye topic yangu umefata nini jamani mi nina shida wewe wkend nalala tu mwenzio

..............Bebii tulia,naomba unipe nafasi manake mimi mwenyewe ni mpweke,ispokuwa mimi mwenzako mambo ya kikubwa bado sijawahi,nina miaka 30,wakili msomi,na nina ka masters ka sheria(KwaZulu Natal University) kwa hiyo tutapata a perfect match.
 
Hehehehe unionyeshe mji ukose hadithi za kutuhadithia Moshi xmass?!I don‘t think so!

Kwenda huko...una bahati nakutunzia heshima tu dadangu kina mvua wasije kuacha! We hujishangai unatongozwa na watu wenye majina ya kimdenyi mndenyi tu???lol
Birds of a feather...teh teh teh...
 
we lizy kila saa uko humu we ndo receptionist nini shost?
 
mambo gani ya kikubwa hata mimi sijawai wala siyapendi
 
Kwenda huko...una bahati nakutunzia heshima tu dadangu kina mvua wasije kuacha! We hujishangai unatongozwa na watu wenye majina ya kimdenyi mndenyi tu???lolBirds of a feather...teh teh teh...
Hahahahaha...sasa mimi hao wa mdenyi ndo nnaowapenda.Wajanja wa town SITAKI PRESHA.
 
Napokea maombi mpaka kesho mchana...
Lizzy, with all due respect,i humbly with decorum hereinafter and without prejudice to my prio statements and comments,take this chance as stated hereinabove,to beg you notwithstanding the apperance of my avatar do hereby submit my request to be your close friend as you may wish so far as i can be your one and only one friend....................I HUMBLY SO SUBMIT.
 
we lizy kila saa uko humu we ndo receptionist nini shost?
Relax mama. We acha tu watu wachangie post yako. Unadhani ungekua page ngapi bila watu fulani fulani kuchangamsha hapa? stay focus kwa unae mtafuta achana na Lizzy.
Kwanza jibu la kweli utalipata PM, sio hapa.
 
Ngoja nitafute mkalimani...will get back to you shortly .
 
mh mna mambo wana jf so mmenitosa siooooooooooo poa ngoja niende fb au badoo nikatafute waarabu
 
mh mna mambo wana jf so mmenitosa siooooooooooo poa ngoja niende fb au badoo nikatafute waarabu
Hutaki mwanamke? maana hayo yote ulisema hapo juu ni sawa except I am a girl... na ndio lile sharti la nne nitaweza kutekeleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…