Kwanza amini wewe mwenyewe ni mzuri na mvuto unao..,ukiamini.. jambo lolote litakuwa lako..amenMhh embu naomba elimu kidogo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza amini wewe mwenyewe ni mzuri na mvuto unao..,ukiamini.. jambo lolote litakuwa lako..amenMhh embu naomba elimu kidogo...
Sasa ntaaminije kua ni mzuri wakati kila mtu wa karibu ananiaminisha kwamba sina?!Kwanza amini wewe mwenyewe ni mzuri na mvuto unao..,ukiamini.. jambo lolote litakuwa lako..amen
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
Asante Lizzy, sikupaona, nikawa very frustrated! haya sasa, twende kazi maana kama kuna mjanja kuliko mimi basi ujanja wake utamuua... Sema Bebii, niku-pm sasa, nini?Hahaha kakujibu sehemu...kasema uwe tu MJANJA.
Beb we unaonyesha ni control freak wa aina flani ndio maana uko single/lonely at 30 huwezi kunipangia eti kila j1 Mlimani city j2 beach,niwe Arsenal(which i am),nisiwe na GF nawe hutaki habari ya sarakasi. hapa JF majority ya wanaume f*ck on the first date unless you are having your period which means then definately on the second date.mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
Hahaha....Semper fi ehhh?!I like!Well nimepata mtu wa kunitafsiria ila kujibu naomba iwe kwa kikwetu.Nakubali kwa moyo mkunjufu ila unaweza kujikunja wakati wowote...nakukubali kwa moyo nusu ili usipokuwepo ule "utupu ndani ya moyo " usinisumbue...na nnakupokea kwa mkono mmoja ili ukileta mchezo iwe rahisi kukutupa.
Mbona hukusema asiwe mwathirika au umesahau?mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi3-kushauriana mambo ya maisha4-asilieleze mambo ya kungonoka5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi6-cost tutashare 7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya8-awe na akili ya maisha9-awe mstaarabu mpole10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba thanx wana jf
Kwasheria yake hiyo anapaswa kuwatafuta mashoga ndio wanamfaa lkn kwa wanaume kamili bila ya kuchachua akili haikai sawa. au nadhani anaumwa akiliBeb we unaonyesha ni control freak wa aina flani ndio maana uko single/lonely at 30 huwezi kunipangia eti kila j1 Mlimani city j2 beach,niwe Arsenal(which i am),nisiwe na GF nawe hutaki habari ya sarakasi. hapa JF majority ya wanaume f*ck on the first date unless you are having your period which means then definately on the second date.
unadaiwa shost au wewe wakili?
Hahaha....Semper fi ehhh?!I like!Well nimepata mtu wa kunitafsiria ila kujibu naomba iwe kwa kikwetu.Nakubali kwa moyo mkunjufu ila unaweza kujikunja wakati wowote...nakukubali kwa moyo nusu ili usipokuwepo ule utupu ndani ya moyo usinisumbue...na nnakupokea kwa mkono mmoja ili ukileta mchezo iwe rahisi kukutupa.
Hahahhaah Mkirua unisamehe kaka yangu ila naona niende usukumani nikabadili mazingira.Alagu jana nikakusubiria hukutokea...au sijui ndo uliniona ukabadili mawazo!We Liz vipi? Ndo umentema au? Kisa hako kaloya ambako hata hakana Tembocard?? Be serious bana!!
semper fidelis="always faithful" duh, mbona majibu yako ni staki nataka???ujue sisi wasukuma limoyo likishakudondokea ndo tayari kabisa kabisa,kwa hiyo naomba ukubali jumla jumla na si nusu nusu,karibu ndani ya sakafu ya moyo wangu,upate pumziko la moyo na mapenzi motomoto,karibu mtoto wa Ki unga ltd.
Hahahhaah Mkirua unisamehe kaka yangu ila naona niende usukumani nikabadili mazingira.Alagu jana nikakusubiria hukutokea...au sijui ndo uliniona ukabadili mawazo!
Khaaa...sasa ulishindwa nini kuniPM nijue badala ya kuniweka pale mpaka jioni?!Aaaagh! foleni mtu wangu nilifika Grin Vyuu nikakuta gizaaa ngeleja keshafanza mambo yake No Lizz wala nini!
Tulienda Bebii...kama bado hujapata rafiki nichukue mimi.Ila mambo ya sijui movie Mliman C siwezi maana pesa sina.kwani hamkwenda jana huko red view lizzy?
Khaaa...sasa ulishindwa nini kuniPM nijue badala ya kuniweka pale mpaka jioni?!
kwani hamkwenda jana huko red view lizzy?