Rafiki wa kiume

Rafiki wa kiume

Kwanza amini wewe mwenyewe ni mzuri na mvuto unao..,ukiamini.. jambo lolote litakuwa lako..amen
Sasa ntaaminije kua ni mzuri wakati kila mtu wa karibu ananiaminisha kwamba sina?!
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf

Wa namna hiyo itabidi umtafute MWANASESERE robotic um-program!

Dada: A certain level of disagreement is healthy in relationship. Kama mtakuwa mnakubaliana kwa kila kitu (unachotaka ndicho anachofanya) ina maana hakuna mtu wa pili hapo ila ni duplication ya wewe mwenyewe. Kama ndicho unahitaji kwa rafiki (yaani mtu sawa na wewe) company ya nini? Burudani/partnership inanoga strength ya mmoja inapo-cover mapungufu ya mwenzie (kama wewe ni mrefu rafiki awe mfupi -utamsaidia kuanika/kutundika nguo juu, nae atakusaidia kutoa viatu mvunguni), kama wewe ni mkali mwenzio awe mpole, kama wewe ni msemaji mwenzio awe msikilizaji, kama wewe unajua kufuatilia madeni mwenzio ajue kukopesha nk. nk. nk
 
Hahaha kakujibu sehemu...kasema uwe tu MJANJA.
Asante Lizzy, sikupaona, nikawa very frustrated! haya sasa, twende kazi maana kama kuna mjanja kuliko mimi basi ujanja wake utamuua... Sema Bebii, niku-pm sasa, nini?
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
Beb we unaonyesha ni control freak wa aina flani ndio maana uko single/lonely at 30 huwezi kunipangia eti kila j1 Mlimani city j2 beach,niwe Arsenal(which i am),nisiwe na GF nawe hutaki habari ya sarakasi. hapa JF majority ya wanaume f*ck on the first date unless you are having your period which means then definately on the second date.
 
Hahaha....Semper fi ehhh?!I like!Well nimepata mtu wa kunitafsiria ila kujibu naomba iwe kwa kikwetu.Nakubali kwa moyo mkunjufu ila unaweza kujikunja wakati wowote...nakukubali kwa moyo nusu ili usipokuwepo ule "utupu ndani ya moyo " usinisumbue...na nnakupokea kwa mkono mmoja ili ukileta mchezo iwe rahisi kukutupa.

We Liz vipi? Ndo umentema au? Kisa hako kaloya ambako hata hakana Tembocard?? Be serious bana!!
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi3-kushauriana mambo ya maisha4-asilieleze mambo ya kungonoka5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi6-cost tutashare 7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya8-awe na akili ya maisha9-awe mstaarabu mpole10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba thanx wana jf
Mbona hukusema asiwe mwathirika au umesahau?
 
Pole sana kwa balaa ulilopata. wanaume wa sifa hizo utapata hakuna shaka. but tupe na madhaifu yako ili 2jue jinsi ya kukukubali au kuku tosa
 
Beb we unaonyesha ni control freak wa aina flani ndio maana uko single/lonely at 30 huwezi kunipangia eti kila j1 Mlimani city j2 beach,niwe Arsenal(which i am),nisiwe na GF nawe hutaki habari ya sarakasi. hapa JF majority ya wanaume f*ck on the first date unless you are having your period which means then definately on the second date.
Kwasheria yake hiyo anapaswa kuwatafuta mashoga ndio wanamfaa lkn kwa wanaume kamili bila ya kuchachua akili haikai sawa. au nadhani anaumwa akili
 
hata siwaelewi walah hebu lizy nisaidie
 
Hahaha....Semper fi ehhh?!I like!Well nimepata mtu wa kunitafsiria ila kujibu naomba iwe kwa kikwetu.Nakubali kwa moyo mkunjufu ila unaweza kujikunja wakati wowote...nakukubali kwa moyo nusu ili usipokuwepo ule “utupu ndani ya moyo “ usinisumbue...na nnakupokea kwa mkono mmoja ili ukileta mchezo iwe rahisi kukutupa.

semper fidelis="always faithful" duh, mbona majibu yako ni staki nataka???ujue sisi wasukuma limoyo likishakudondokea ndo tayari kabisa kabisa,kwa hiyo naomba ukubali jumla jumla na si nusu nusu,karibu ndani ya sakafu ya moyo wangu,upate pumziko la moyo na mapenzi motomoto,karibu mtoto wa Ki unga ltd.
 
We Liz vipi? Ndo umentema au? Kisa hako kaloya ambako hata hakana Tembocard?? Be serious bana!!
Hahahhaah Mkirua unisamehe kaka yangu ila naona niende usukumani nikabadili mazingira.Alagu jana nikakusubiria hukutokea...au sijui ndo uliniona ukabadili mawazo!
 
semper fidelis="always faithful" duh, mbona majibu yako ni staki nataka???ujue sisi wasukuma limoyo likishakudondokea ndo tayari kabisa kabisa,kwa hiyo naomba ukubali jumla jumla na si nusu nusu,karibu ndani ya sakafu ya moyo wangu,upate pumziko la moyo na mapenzi motomoto,karibu mtoto wa Ki unga ltd.

I know...i know!!

Aisee kumbe wewe Msukuma ehhh?!Kwanza kabla sijakubali nikuulize hiyo sakafu ya moyo wako ina kapeti au ndo ntapigwa na baridi hapo mpaka nishangae?!
 
Hahahhaah Mkirua unisamehe kaka yangu ila naona niende usukumani nikabadili mazingira.Alagu jana nikakusubiria hukutokea...au sijui ndo uliniona ukabadili mawazo!

Aaaagh! foleni mtu wangu nilifika Grin Vyuu nikakuta gizaaa ngeleja keshafanza mambo yake No Lizz wala nini!
 
kwani hamkwenda jana huko red view lizzy?
 
Aaaagh! foleni mtu wangu nilifika Grin Vyuu nikakuta gizaaa ngeleja keshafanza mambo yake No Lizz wala nini!
Khaaa...sasa ulishindwa nini kuniPM nijue badala ya kuniweka pale mpaka jioni?!
 
Khaaa...sasa ulishindwa nini kuniPM nijue badala ya kuniweka pale mpaka jioni?!

Asa huko kuku PM ndo nin? Si wajua tunaotokea mndenyi mambo mengine mageni...... Usukumani wanasema Mashikolo maghenyi! Kuwa siriazi bana!
 
Back
Top Bottom