Rafiki wa kiume

aah kumbe green mi sijui bwana hela ninayo usjali so jmosi sio?
 
Asa huko kuku PM ndo nin? Si wajua tunaotokea mndenyi mambo mengine mageni...... Usukumani wanasema Mashikolo maghenyi! Kuwa siriazi bana!
Na huo Umdenyi wako ndo umenifanya niamue kwenda kwa Msukuma...maana siku moja unaweza ukapotelea mjini nisikuone tena.
 
ndio utakula ice cream popcorn nini usijali
 
aah kumbe green mi sijui bwana hela ninayo usjali so jmosi sio?

Bomba tu asa Lizz kanitema Bebii na amri zake 12 Ish!! Cost sharing haina noma mie ntakuja na ka RAV 4 si utaweka wese?
 
Na huo Umdenyi wako ndo umenifanya niamue kwenda kwa Msukuma...maana siku moja unaweza ukapotelea mjini nisikuone tena.

Hahahahaaaa!! ujajibu swali langu niambie bas ku PM ndo nin Bebii asijentosa tena ... Alaf lazima tufanye Send off!
 
Sina mvuto....

Siyo Lizzy kila binadamu ana mvuto, wengine wa ndani u need time to discover it wengine ndo wa nje akipita uuuhff Mungu kaumba, na wengine wana vyote.
 
It is ver interesting having a man ambaye mnashare hobby na mnatoka bila kudo! I used to ila almost wote wamekula kona. Mmoja aliniuliza ' Dear unadhani mm si rijali?? Yaani twende beach uvae beach wear nakuangalia tu, then we swim, turudi home unachange nguo mbele yangu nakutamaza tu noop me naenda' Was fun looking him akiwa hot n still hakuna kudo, kaoa sasa ila heshima bado ipo na nadhani was best thing hatukujuana! He will be my best friend forevr
 
kumbuka jana nilikukaribisha kwa ukaribisho wa upendo, mimi nina miaka 75, ni mweusi mrefu, sina demu, sitaki mambo ya kungonoka, na kwa ufupi hiyo avatar yangu ndo picha yangu. Vipi uko tayari?
 
halafu usisahau kumwambia mkewe kuwa mlikuwa mnavuliana nguo na kubaki uchi lakini hamkudo na mumewe
 
mh mna mambo wana jf so mmenitosa siooooooooooo poa ngoja niende fb au badoo nikatafute waarabu

Tumekutosa wapi mtu mwenyewe masharti kibaoooooo!!!!!,
Hueleweki unataka mume, boyfriend, shugadadi, mshikaji, wakuzugia n.k.
We usawa huu nani utampata eti awe single halafu hapohapo eti akiwa na wewe asizungumzie mambo flani, ushaona wapi hiyo??!!
We nenda zako tu huko fb & badoo, wacha watu tu-discuss issue muhimu hapa
 
Nimesononeka sana kwani nijuavyo mimi unaweza orodhesha sifa milioni moja na kesho interest zako zikagota kwa m2 usotaraji, Ok kila rakheri bebiiiiiiiiiiii..........
 

Hapo kwenye red arsenal ikifungwa mbona mtaboana. Stress tupu. Hamtaenda kuangalia movie kuogelea beach. Tafuta wa Man Utd atakuchangamsha.
 

Mm nipo tayari ila nina masharti yangu na siwezi nakayatoa jamvini, kama vp ni PM tuingie mkataba!
 
leo nafunga application asanteni kwa kujitokeza matokeo nitatangaza hapahapa jamvini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…