mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
nnnnnnnnnnnnnnjamani kuna watu wanaendelea kunipm hii thread ilishaisha mkataba wake.ila nawashukuru kwa kuonyesha interest
nimeona niweke wazi nisiharibu sifa ya jukwaa sijibu kwa sababu mchakato ulishaisha
mimi ni mwanamke nina miaka 30 niko lonely sana jamani i wish niwe na rafiki wa kuinjoy jamani.awe sirias jamani ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
leo nafunga application majibu hapahapa jf asanteni
JAMANI KUNA WATU WANAENDELEA KUNIPM HII THREAD ILISHAISHA MKATABA WAKE.ILA NAWASHUKURU KWA KUONYESHA INTEREST
NIMEONA NIWEKE WAZI NISIHARIBU SIFA YA JUKWAA SIJIBU KWA SABABU MCHAKATO ULISHAISHA
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
LEO NAFUNGA APPLICATION MAJIBU HAPAHAPA JF ASANTENI
sielewi mwanzo wala mwisho mweee
Hahahah...ebu ngoja;
1. jumamosi zote?
2. poa
3. poa
4. hinatokeaga tu..so poa
5. Mh!
6. 50/50 ama? (kwa kuzingatia wewe ndo umetoa ratiba ya wiki na mwenendo mzima wa mahusiano)
7. mtazamo huo tu
8. poa
9. poa
10. Unajua Pale Chuo Kikuu UD, kuna Shule ya msingi Mlimani...kuwa specifi kiasi
11. poa
12. Mh! apo sahau...i gec u r looking for loosers!
POLE and ALLL THE BEST!