Rafiki wa kiume

Unafikili na ww utakuwa na sifa unazozitaja na huyo mwenzio unayemuhitaji ataendana na ww,usiolozeshe sifa unazozihitaji alafu ww huna sifa zitakazomvutia unayemuhitaji,ushauri tafuta mgomba au mdori ndio suluhu kwako
 
nnnnnnnnnnnnnn
 
Du!kama maombi ya kazi,jamani amesahau mwombaji anatakiwa kuambatanisha CV yake
 
Katika sifa zote 12 ulizotaja;03 tu ndiyo zimepungua.Kama kweli uko-serious naliochosema/omba basi usisite kuniandikia kupitia kiuyajibu@jamiiforums.com kwasababu na mimi ninahitaji pia.
 
wa hivyo hayipo, labda umuumbe mwenyewe
 
huyu nouma ina maana wanaomtokea wote hawamfai hadi apate humu asiye mwona
 
Eti awe single.asiwe na mpenzi....lakini asimweleze kuhusu kungonoka......utata huu..kama humtaki kimapenzi niaje tena ukawa unamlimit asiwe na sketi
 
Wewe utakuwa na shida. Huku kwetu uhaba wa wanawake. Njoo utapata mtu.
 
Tatizo simba na arsenal sipend hiz timu ila sifa nyingine ninazo
 
Sifa zako nzuri na ahadi je nazo nzuri, kumbuka ahadi huenda na vitendo, si maneno mazuri tuuuuuuu,Yawezekana ukamuona unaye mtaka lakini nguvu fulani ya maombi inakusekana, vigezo si silaha ya kufaulu mtihani , kuona wala si kuchukua. bilashaka cm nisuluhisho la karibu
 

mamy pamoja na kwamb ulisha funga thread hii ila no sita na kumi na mbili imenikuna kiukweeee
 
sielewi mwanzo wala mwisho mweee
 
unakumbuka ulivonitosa? mbona now unanimendea mendea? ukisusa wenzio wala meen!
 
unakumbuka ulivonitosa? mbona now unanimendea mendea? ukisusa wenzio wala meen!

Hahahah Smile...this was u??! u were immature back then...lol!!!😛layball:
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…