Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tenaAcha roho nzuri mkuu
Hapo kwenye kijana mtanashatiRafiki yeyote wa kike au wa kiume mstaarabu mcheshi, unakaribishwa weekend hii tukatembee maeneo tofauti tofauti hapa Dar. Kwa alie tayari karibu PM. Gharama zote mimi labda tu wewe uamue kwa utashi wako binafsi
Sifa zangu
-kijana mtanashati
-sijaoa
-najitegemea
njoo hongera bar,nimevaa gauni la kitenge la pink nipo peke yangu kwenye meza yenye turubai
Nenda shouger..huwez jua😅kumbe mdogo wake Mo!manengelo jibu hili hapa, tujongee piemuni
Nenda kaanze kusoma upepo kwanzamanengelo jibu hili hapa, tujongee piemuni
Tulioolewa tukaachika tunaruhusiwa?
Maneeee... nawe ni wa dizain kam hyo quote hapo juu?Manengelo said:Wakikujibu tag me babe
😅😅sijawah achwa maishani mwang mkuu😅! Namzenguaga tu demi naye alikua anazengua tu hapo!Maneeee... nawe ni wa dizain kam hyo quote hapo juu?