Enzi zetu kutongoza tu mwanamke ilikuaga shughuli pevu kabla ya kumpata, ila skuhizi maisha yamebadikika kwa kasi na technology imerahisisha kilakitu..π
Another single mother in trackHabari zenu,naitwa epi Niko dar umri miaka 30 natafuta marafiki wa kuchat nao na kurelax akili yangu.angalizo naitaji marafiki tafadhali na cyo wapenzii ......Asante
ππππππHehehe...
Mzee itakuwa ulikuwa unatuma sana barua za mapenzi kwa wachuchu au zile za kumtuma mdogo mtu akuitie mchuchu...
πππππMiaka 30 hapo unatafuta Mtu I know wanawake mnachopitia it is hell
Njoo dm dogoHabari zenu,naitwa epi Niko dar umri miaka 30 natafuta marafiki wa kuchat nao na kurelax akili yangu.angalizo naitaji marafiki tafadhali na cyo wapenzii ......Asante