Rafiki wa kweli wa tajiri ni masikini

Rafiki wa kweli wa tajiri ni masikini

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wengi huwa tunakosea sana, hasa pale kipato kinapo ongezeka huwa tunawaacha wale wa tabaka la chini tuliokuwa nao pamoja, na kuambatana na tabaka la juu au linaloendana na hadhi yako kwa wakati ule.

Kwa ujumla, yule watabaka lako hawezi kamwe kuwa rafiki yako zaidi ya kuwa mshindani wako.

Na atakuwa na wewe tu, kama utaendelea kuwa kwenye hilo tabaka; ikitokea umeshuka, hautakuwa naye.

Kwa mantiki hiyo, rafiki wa kweli wa tajiri ni masikini.​
 
Ni kweli kabisa. Kwa sababu ili simba aishi lazima swala aliwe. Na si kosa simba kula swala. Naomba nisamehewe kama nimetumia lugha isiyo ridhisha. Lakini tujue dunia ni kama pori. Mungu awabariki wote. Huruma ipate kutamalaki.
 
Wengi huwa tunakosea sana, hasa pale kipato kinapo ongezeka huwa tunawaacha wale wa tabaka la chini tuliokuwa nao pamoja, na kuambatana na tabaka la juu au linaloendana na hadhi yako kwa wakati ule.

Kwa ujumla, yule watabaka lako hawezi kamwe kuwa rafiki yako zaidi ya kuwa mshindani wako.

Na atakuwa na wewe tu, kama utaendelea kuwa kwenye hilo tabaka; ikitokea umeshuka, hautakuwa naye.

Kwa mantiki hiyo, rafiki wa kweli wa tajiri ni masikini.​
Nakubali 100%
 
Back
Top Bottom