Rafiki wa mume wangu ananitaka

Embu nisaidie ni vitu gani?,sooo kila anayetongozwa huonekana mrahisi kukubali na ikitokea hujakubali wanakuweka kundi gani?

wanaume wajanja hutongoza wake wa marafiki ambapo wanajua huyo ni rahisi kumpata angejua hawezi kukupata wala asingesumbuka.
 
Ukicheza tu umeliwa,uwe makini anakusogeza huyo.
 

nilikokwenda kumwona ni restaurant ila kama hatua ishirini hivi kuna hiyo nyumba ya wageni. nilipanga kwenda na mr kumwona lakini aliinsist ni jambo la muda huo huo. na kwa vile namheshimu ndio maana nillikwenda.
 
Ushauri mzuri kabisa!
 
Wewe ungekwenda naye kwenye hicho chumba cha gesti ili ukienda kushtaki kwa mume wako uwe na ushahidi kabisa, sasa hivi anaweza kukugeuzia kibao kuwa ulimtaka kakukataa ndio maana unamsingizia umbeya.
 

Kwani ukimpa hiyo kitu akague utaumwa? au yeye ataumwa?

Hiyo haudhuru ndo raha ya kula na nduguyo
 
Jamaa hata hajakutongoza keshalipia chumba? Lazima umewahi kumpa siku za nyuma,
 
unatakiwa kumwambia mumeo kwani huwezi jua kama ni mtego umewekewa....
Personally, huwa sipendi kabisa mke wangu anambie habari za nani amemtongoza au anamtaka. Maana kwanza inanipa mashaka kama kweli jamaa hajala. Maana anaweza kuwa ananambia kama sehemu ya kujilinda yeye binafsi, pili inaweza kuwa ni kinga, ili siku nyingine ukiona message mbaya kutoka kwa jamaa usiwe na la kusema, maana ukimuuliza atakwambia "si nilikwambia kwamba ananitongoza?" I hate it! Mke wangu ni mtu mzima, afanye maamuzi yake mwenyewe, wala asinihusishe mimi juu ya yale anayojibizana au wanayokubaliana na dume lake huko. Hata mimi nina madada wanaonitaka na simwambii yeye. So kama mme wake ni wa aina kama yangu, ni bora kutokusema kabisa. otherwise timbwili linaanza!!
 
Hujamaliza vizuri kwani hujasema ulifanya nini baada ya kuambiwa. Chumba mlikitumia? Isijekuwa ali-perform poorly ndo maana umemleta Jamvini
 

Umeona dada....Haya vijana wa dot com sijui wakajoe...Yaani aende akamwambie mumewe baada ya kuitikia wito? Mhhh....Sina hakika ila kama atatekeleza ma ushauri ya hawa ndugu basi ...tunaweza kuwa tunaongea mengine baada ya hapo...May be RIP can be the right word!!

Usijaribu kusema kwa mtu yeyote na huyo jamaa akizidi kumsumbua amrecord (akama alivyoshauri AD). Baada ya hapo anaweza kutumia hiyo clip kumshikisha adabu...Jamaa itabidi awe msukule kwa yule dada kwani atakuwa anajua kwamba dada anazo silaha za maangamizi zinazoweza kummalisa any time..!
 
Umechemsha kwenda kumuona, ila hujachelewa, mpotezee kabisa mpaka ajute kukufahamu
 
Kama alivyosema SMU hapo juu, inaelekea kuna shida/migogoro ya mara kwa mara ktk ndoa yako ambayo huyo shemeji yako anaijua na sasa anataka ku-take advantage. Pia inaonekana huyo shemeji yako anakujua kuwa wewe ni mrahisi (single click) ndo maana alichukua kabisa na chumba. Isitoshe inaonekana ulishawahi kuonyesha signs za kumpenda ndo maana ukakatisha mihadi na mr. wako ukaenda kumuona yeye bila kumjulisha mumeo.
 
Pale uliposema bora ungekuwa humjui pana utata. Lakini ni vizuri kumuonya huyo jamaa ikishindikana muambie mumeo. Siku hizi wanaume wengi wakwale sana.
 
I feel you..had same feelings..haiwezekani hata kama mwanaume ni mkware vipi afanye hivyo alivyo fanya kama huyo mwanamke ajachangia kwa kiasi fulani...Fuata ushauri wa SMU jitizame unabehave vipi mbele za watu..haiwezekani kubehave anyhowUshauri wangu huyo dada aache ngono wakati ana stead relatioship..maelezo ya huyo dada yanaonyesha anatembea nje ya ndoa..anaposema afadhali angekuwa mtu wa mbali asiye na ukaribu na familia...my instinct inaniambia huyo rafiki wa mumewe anazo habari zake fulani kuhusu kutokuwa mwaminifu naye aliamua kutake chance..
 
Jamaa hata hajakutongoza keshalipia chumba? Lazima umewahi kumpa siku za nyuma,
Hapa kuna Kiarifu kimejificha..!!
Inaonyesha Mke ni easy go ndo maana akchukua chumba kabisa
 
kwanza mpotezee, futa ukaribu nae, futa number yake kama vp iblock ingawa cjui cmu yako ni ya aina gani. hata akija kwenu ucmpe nafasi ya kuongea nawe zaidi ya salamu tu. pia kama unatabia za ukicheche mpanulie tu mapaja maana itakuwa ndo kawaida yako.
 
kwahiyo ina maana angekuwa kama hapo kwenye bold ungempa, si ndiyo? Jichunguze utakuwa na matatizo
 
Kwani ukimpa hiyo kitu akague utaumwa? au yeye ataumwa?

Hiyo haudhuru ndo raha ya kula na nduguyo

loooh fidel80 angekua mkeo ungeruhusu? vya kula na ndugu si hivyo mwenzangu.... naona we ndo wale wale tu jamani khaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…