Personally, huwa sipendi kabisa mke wangu anambie habari za nani amemtongoza au anamtaka. Maana kwanza inanipa mashaka kama kweli jamaa hajala. Maana anaweza kuwa ananambia kama sehemu ya kujilinda yeye binafsi, pili inaweza kuwa ni kinga, ili siku nyingine ukiona message mbaya kutoka kwa jamaa usiwe na la kusema, maana ukimuuliza atakwambia "si nilikwambia kwamba ananitongoza?" I hate it! Mke wangu ni mtu mzima, afanye maamuzi yake mwenyewe, wala asinihusishe mimi juu ya yale anayojibizana au wanayokubaliana na dume lake huko. Hata mimi nina madada wanaonitaka na simwambii yeye. So kama mme wake ni wa aina kama yangu, ni bora kutokusema kabisa. otherwise timbwili linaanza!!