Rafiki wa mume wangu ananitaka

Rafiki wa mume wangu ananitaka

Kwa jinsi nlivyoisomasoma hii sredi mh siielewi! Aanze tu kukuomba bila sababu yoyote? Hebu jichungue kwanza wewe je katika ushemeji wenu hakuna namna ambayo umekuwa kama ukimwonyesha 'green light'? Hata kwa bahati mbaya ile ya 'ushemeji"? Pengine kaitafsifi ndivy sivyo! Maana nijuavyo mie mwanaume mwenye guts ya kufanya hayo ya shemejio ni yule asiyekufahamu vizuri.Kama sivyo basi chungua 'mumeo' anakuzungumzaje kwa huyo rafikiyek

...Mwj1 kuna mijanaume haina tu adabu, haijalishi wamzungumzaje mkeo nje...'marafiki' wa aina hii ni wanafiki tu.
Binafsi nachukulia ni dharau kwa ndoa yangu, iweje rafiki yangu amtongoze mke wangu? mbaya zaidi eti mke nae
alikwenda kwenye miadi bila kuniambia? It's not right...mke nae kachangia 'kutongozwa'

Ni sawa na mume ambaye yupo busy 'vichochoroni' na marafiki wa mkewe,...tabia chafu sana.
Kuna siri gani?
 
...dddaaaaahhhh? yaani mke wangu akakutane na rafiki yangu bila kuniambia?
No way bana, ...'jambo nisilopenda kufanyiwa, sitamfanyia!'

Sitakutana kwa siri na rafiki yake, nitamjulisha nakwenda kuonana na rafiki yake.
Kuna siri gani kwani kama sio kujitafutia kuondoa uaminifu?!

Mh. sana Mbu,
Labda kama mie ndo sikuelewa vizuri...Dada wa watu kasema kuwa hawa ni family friends. Na huko alishawahi kuwapatanisha huyo baba na mke wake. Nadhani mazingira aliyoaelezea yanaonesha wazi kwamba hakukuwa na sababu ya kusita kwenda kumwona shemeji yake!

Nakubaliana na wadau wengine wote kwamba hakuna umuhimu na si busara kukutana na shemeji yako ila nadhani ni too much kusema kuwa inapotokea hali kama hii lazima kwanza mwanamke atoe taarifa na kuomba ruhusa kwa mume. Mimi nawajua washikaji kibao ambao wanakutana na shemeji zao na especially kama kuna ugomvi wa kifamilia ambao mhusika anadhani shemeji anaweza kusaidia kusuluhisha.
 
...Mwj1 kuna mijanaume haiuna tu adabu, haijalishi wamzungumzaje mkeo nje...'marafiki' wa aina hii ni wanafiki tu.
Binafsi nachukulia ni dharau kwa ndoa yangu,
iweje rafiki yangu amtongoze mke wangu? mbaya zaidi eti mke nae
alikwenda kwenye miadi bila kuniambia? It's not right...mke nae kachangia 'kutongozwa'

Ni sawa na mume ambaye yupo
busy 'vichochoroni' na marafiki wa mkewe,...tabia chafu sana.
Kuna siri gani?

Pole sana mkuu,

Ila huo ndo ukweli ...binadamu wote (na especially wanaume) wanapenda kuvua kwenye maji ya kina kifupi karibu na pwani! Nani anapenda kuhangaika kwenye bahari kuu?

Hapo ndipo linapokua suala la kujiheshimu. Hata hivyo ni gumu sana ndo maana house girls (a.k.a beki) ndo wa kwanza kufanya futari baba mwenye nyumba anapokengeuka!!
 
...Mwj1 kuna mijanaume haiuna tu adabu, haijalishi wamzungumzaje mkeo nje...'marafiki' wa aina hii ni wanafiki tu.
Binafsi nachukulia ni dharau kwa ndoa yangu, iweje rafiki yangu amtongoze mke wangu? mbaya zaidi eti mke nae
alikwenda kwenye miadi bila kuniambia? It's not right...mke nae kachangia 'kutongozwa'

Ni sawa na mume ambaye yupo busy 'vichochoroni' na marafiki wa mkewe,...tabia chafu sana.
Kuna siri gani?
Nadhani uko sahihi especially hapo kwenye.kwenda kuonana na "shemeji" pasipo kusema kwa mume! Mara nyingi hii huwa ni ngumu kwa kweli maana ikitokea bahati 'mbaya' Mr anawakuta hapo mlipokutana and then unamwelewesha vije?? Nadhani hata kama ni mwelewa wa aina gani, utaanza kurise alarm kichwani mwake kwa nini hujamwambia UNLESS mahusiano yako na Mr/Mrs wako nayo yana walakini.....kwa maana ya kuwa mumeo/mkeo si rafiki yako...... unajua kuna ule umbeya wanaopigaga mke na mume ambao ni "marafiki".....ule wa ..basi best nkutonye..... ila ndo unstiri eh mkeo nsijesutwa bure.......basi shemeji Ngwengwe si leo kamkung'uta mkewe!!!! mh yaaaaaaniiiiiiiiii hata sijui itakuwaje mwenzangu!!......inakuwa rahisi kwa kuwa wajua fika kuwa mumeo/mkeo hawezienda sema kwa yule alokuwa anasemwa! So kwa issue kama hii mke angeweza hata kumtip mumewe.............Best, rafikio sijui kaharibu huko!! maana ameniita anaomba nikutane naye, so nitakwenda briefly then ntaja kujulisha....am sure kama ni mume rafiki ataelewa kuliko kwenda pasipokusema wakati mumeo anaamini bado uko kazini!

Mh. sana Mbu,
Labda kama mie ndo sikuelewa vizuri...Dada wa watu kasema kuwa hawa ni family friends. Na huko alishawahi kuwapatanisha huyo baba na mke wake. Nadhani mazingira aliyoaelezea yanaonesha wazi kwamba hakukuwa na sababu ya kusita kwenda kumwona shemeji yake!

Nakubaliana na wadau wengine wote kwamba hakuna umuhimu na si busara kukutana na shemeji yako ila nadhani ni too much kusema kuwa inapotokea hali kama hii lazima kwanza mwanamke atoe taarifa na kuomba ruhusa kwa mume. Mimi nawajua washikaji kibao ambao wanakutana na shemeji zao na especially kama kuna ugomvi wa kifamilia ambao mhusika anadhani shemeji anaweza kusaidia kusuluhisha.

Babu hapa ninaomba nikupinge.........kwani ikiwa waitwa usuluhishe ugomvi unakuwa na nini sasa cha kuficha?? shemejio na mkewe wamegombana na wanataka wewe ukawasuluhishe ni nini kitakachokufanya ushindwe kumweleza mwenzio?? Wajua hapo utakuwa unakosea.....kwa sababu )Unless useme kukaa kimya si kusema uwongo........which I doubt kwa kuwa najua ukishaamua kukaa kimya pasipo kusema hata mwenzi akikupigia muda huo kukuuliza uko wapi na kwa vile hukupanga kumwambia tangu mwanzo unawezajikuta unasema uwongo!! So wkangu kuwa mwongo si lazima kusema uwongo Babu!! Hata kukaa kimya pasipo kusema kitu juu ya jambo flani ambalo unahisi mwenzi wako akilijua kutakuwa na mushkel au akikuuliza ghafla hutomweleza!

Pole sana mkuu,

Ila huo ndo ukweli ...binadamu wote (na especially wanaume) wanapenda kuvua kwenye maji ya kina kifupi karibu na pwani! Nani anapenda kuhangaika kwenye bahari kuu?

Hapo ndipo linapokua suala la kujiheshimu. Hata hivyo ni gumu sana ndo maana house girls (a.k.a beki) ndo wa kwanza kufanya futari baba mwenye nyumba anapokengeuka!!

I salute you Babu.........ni kweli kabisa kuwa hii ni hali halisi. Sijui kwa nini ninaamini kuwa kwa mwanaume anayekufahamu fika .......... akutamkie wazi wazi - tena chizi huyu hata hajampatia haki 'wifi' yangu huyu ile haki yake ya kutongozwa......ye anaanza tu na "nimeshalipia chumba'!!! ye nesi kuwa anakupeleka chumba cha sindano?? maana kile ndo huwa kiko availlable 24/7 na mgonjwa hana jinsi! So bado ninaamini kabisa kuwa kuna sababu ambayo imemfanya akaamini kuwa "utamwelewa" atakaposema ..nimeshalipia chumba. Either kuna dalili umezionyesha za kuwa 'mwelewa' au kuna namna mumeo ka'kusifia' na kutoa picha kuwa wewe ni 'mtamu na mwelewa'
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mh. sana Mbu,
Labda kama mie ndo sikuelewa vizuri...Dada wa watu kasema kuwa hawa ni family friends. Na huko alishawahi kuwapatanisha huyo baba na mke wake. Nadhani mazingira aliyoaelezea yanaonesha wazi kwamba hakukuwa na sababu ya kusita kwenda kumwona shemeji yake!

Nakubaliana na wadau wengine wote kwamba hakuna umuhimu na si busara kukutana na shemeji yako ila nadhani ni too much kusema kuwa inapotokea hali kama hii lazima kwanza mwanamke atoe taarifa na kuomba ruhusa kwa mume. Mimi nawajua washikaji kibao ambao wanakutana na shemeji zao na especially kama kuna ugomvi wa kifamilia ambao mhusika anadhani shemeji anaweza kusaidia kusuluhisha.

....dahhh, hapo mimi ndio huchoka kabisa. Yaani mywife wangu kashindwa kabisa kuongea na mimi, kaenda kuuza 'story' kwa mshkaji wangu? ...hata shemejie bado nitaona vibaya. Ni bora hata awaite nyumbani tuzungumze sote watatu. I promise to be a good listerner bana. Hii mambo ya kukutana chemba na 'shemeji' kushtakiwa, ...
Pole sana mkuu,

Ila huo ndo ukweli ...binadamu wote (na especially wanaume) wanapenda kuvua kwenye maji ya kina kifupi karibu na pwani! Nani anapenda kuhangaika kwenye bahari kuu?

Hapo ndipo linapokua suala la kujiheshimu. Hata hivyo ni gumu sana ndo maana house girls (a.k.a beki) ndo wa kwanza kufanya futari baba mwenye nyumba anapokengeuka!!

umeona sasa? ...wanajifanya 'pole shemeji'.. huku mkono waenda pajani,...aaarrrggghhh!
 
Naomba jibu jamani,

Kwamba mwanamke hawezi kukutana na rafiki wa mume wake hadi aombe ruhusa?

Na mwanamumeje? Akitaka kukutana na mke wa rafiki yake ataomba ruhusa pia?
Tofautisha kati ya "kuomba ruhusa" na "kutoa taarifa" kinachozungumzwa hapa ni kutoa taarifa na si kuomba ruhusa
 
....dahhh, hapo mimi ndio huchoka kabisa. Yaani mywife wangu kashindwa kabisa kuongea na mimi, kaenda kuuza 'story' kwa mshkaji wangu? ...hata shemejie bado nitaona vibaya. Ni bora hata awaite nyumbani tuzungumze sote watatu. I promise to be a good listerner bana. Hii mambo ya kukutana chemba na 'shemeji' kushtakiwa, ...


umeona sasa? ...wanajifanya 'pole shemeji'.. huku mkono waenda pajani,...aaarrrggghhh!

Kumbe una roho nyepesi kiasi hicho bro??
 
haahahha jamani bora ncheke mie. hata sikuendelea kumsikiza. nilinyanyuka na kuondoka na wala huko kwenye chumba sikusogea. yeye tu alisema kwamba amechukua chumba ili tupate faragha anieleze shida yake. kwa namna alivokua kashakunywa sikutaka hata kumjibisha maana niliona hakustahili kujibiwa.

You did well, and it was not a sin to go and "listen" to your hubby's friend, but now you know him better. Avoid him, a man who even sleeps with house girl, he is not worth a man....
 
Tofautisha kati ya "kuomba ruhusa" na "kutoa taarifa" kinachozungumzwa hapa ni kutoa taarifa na si kuomba ruhusa

Vyovyote vile....Kwa nini utoe taarifa kama mtu unajiamini na unaamini kwamba shemeji yako ni mtu genuine? Au ina maana kwamba kwenye ndoa zetu siku hizi wa wanaishi kimachale machale?? Bado sielewi!
 
Jamani mi hata sielewielewi huyu kiumbe anataka nini. ni rafiki wa karibu sana na mume wangu. Amekua na tabia ya kutaka sana kunijulia khali.
nami kama shemeji namsabahi na namheshimu sana.
Mwenyewe kaoa, ana mtoto mmoja.
Sasa majuzi alinicall akasisitiza nimwone ana shida sana ya kuongea na mie. nikamwambia tungekwenda na Mr weekend, akakataa akadai shida yake ni siku hiyo hiyo. mi kwa heshima kabsaaa nkakubali nikijua ni shida ya kweli. nikajitoa job mapeema ili nikamwone.
Kufika alikosema nimkute nikakuta mwenzangu ashaanza kuutwika mtungi, kwa vile mi si mnywaji wa pombe nikaagiza maji yangu. Nkamuliza Shem kulikon? hakyanani mi sikuamini kama alimaanisha manake mshenzi yule eti na chumba alishalipia ili .... jamani jamani mi hata sijui nimwambie mume wangu au nifaneje manake nimekwazika sana kwa kweli. sina hata raha mie manake mtu bora hata angekua simjui au hana ukaribu na familia sasa huyu wako marafiki na ni mtu tunaemvalue kama rafiki kumbe ajenda zake mbovu.

kwa hali hii yani duuh sijui kwa kweli.
Hapa kuna uaminifu kweli,
So unamaanisha kama angekuwa hafahamiani na mumeo ungeenda naye?
Na huyu jamaa aliona una dalili hizo na ndo maana aliamua kuagiza na kulipia chumba kabisaa ili akafaidi na yeye wanavyo faidi watu tofauti na Rafiki yake.Please kuwa muaminifu bana
 
Vyovyote vile....Kwa nini utoe taarifa kama mtu unajiamini na unaamini kwamba shemeji yako ni mtu genuine? Au ina maana kwamba kwenye ndoa zetu siku hizi wa wanaishi kimachale machale?? Bado sielewi!

Babu hapa kusema ukweli ninakutaka radhi in advance!! ......katika ndoa kwa maana ya ndoa sidhani kama kuna kitu .....KUTOA TAARIFA........ mapenzi ni makubaliano. Kuna ubaya gani ukamjulisha mwenzio juu ya jambo unalotaka kufanya, kisha ukamsikiliza kama naye analiafiki au lah? Kwangu mie hii ni kama kutaka consent yake akuruhusu ufanye utakalofanya...............but ukisema unatoa taarifa ina kuwa na harufu ya kimfume dume dume hivi, na ukisema unaomba ruhsa inakuwa na kiharufu cha kiunyanyasaji! But all in all kuwe na consent bana......tunaishi katikati ya jamii ya watu wenye mitazamo tofauti na vile vile sie ni binadamu, anawezatokea mtu akamkutwa MwanajamiiOne benet na Shemeji Klorokwini (sikumwambia mpenzi Mbu),.... katuona Malaria Sugu mbiooo kwa Mbu (na kama ujuavyo kauli taarifa) MS kaweka chumvi na binzari kwenye taarifa yake...........Mbu sijamweleza leo nitakutana na Klorokwini (Kama Mbu ana hasira za karibu hakawii kujantoa roho mie au Klorokwini)

Hapana bwana whether shemeji anaaminika au la ni muhimu kupata cionsent ya mwenzako kama kweli unamjali.
Kama anaaminika huyo shemeji anathubutuje kutaka mkutano na mie (ambaye nimemfahamu kupitia kwa rafikie) pasipomjulisha mpenzi wangu? Hapana kwa kweli.
 
Jamani mi hata sielewielewi huyu kiumbe anataka nini. ni rafiki wa karibu sana na mume wangu. Amekua na tabia ya kutaka sana kunijulia khali.
nami kama shemeji namsabahi na namheshimu sana.
Mwenyewe kaoa, ana mtoto mmoja.
Sasa majuzi alinicall akasisitiza nimwone ana shida sana ya kuongea na mie. nikamwambia tungekwenda na Mr weekend, akakataa akadai shida yake ni siku hiyo hiyo. mi kwa heshima kabsaaa nkakubali nikijua ni shida ya kweli. nikajitoa job mapeema ili nikamwone.
Kufika alikosema nimkute nikakuta mwenzangu ashaanza kuutwika mtungi, kwa vile mi si mnywaji wa pombe nikaagiza maji yangu. Nkamuliza Shem kulikon? hakyanani mi sikuamini kama alimaanisha manake mshenzi yule eti na chumba alishalipia ili .... jamani jamani mi hata sijui nimwambie mume wangu au nifaneje manake nimekwazika sana kwa kweli. sina hata raha mie manake mtu bora hata angekua simjui au hana ukaribu na familia sasa huyu wako marafiki na ni mtu tunaemvalue kama rafiki kumbe ajenda zake mbovu.

kwa hali hii yani duuh sijui kwa kweli.

Sasa hapo kuna tatizo gani !! Kama mtu una mvalue kwa nini usimpe anachotaka..Mapenzi hayana mipaka ya urafiki wala ushemeji ukizingatia ndoa zetu za siku izi zimepinda pinda.. Endapo kaona amevutiwa na wewe ulitaka asikuambie au kukutongoza ? Ulitaka afe na tai shingo ? Do what you think is best for you !! Huwezi kupata ushauri sahihi wa kimapenzi..! Mapenzi ni wewe mwenyewe na wale wanao kuzunguka!! Hatumjui mumeo , wewe wala rafiki wa mumeo..!!! Na je endapo mumeo kamwambia rafikie " mke wangu haridhiki kwahiyo naomba unisaidie"
 
Babu hapa kusema ukweli ninakutaka radhi in advance!! ......katika ndoa kwa maana ya ndoa sidhani kama kuna kitu .....KUTOA TAARIFA........ mapenzi ni makubaliano. Kuna ubaya gani ukamjulisha mwenzio juu ya jambo unalotaka kufanya, kisha ukamsikiliza kama naye analiafiki au lah? Kwangu mie hii ni kama kutaka consent yake akuruhusu ufanye utakalofanya...............but ukisema unatoa taarifa ina kuwa na harufu ya kimfume dume dume hivi, na ukisema unaomba ruhsa inakuwa na kiharufu cha kiunyanyasaji! But all in all kuwe na consent bana......tunaishi katikati ya jamii ya watu wenye mitazamo tofauti na vile vile sie ni binadamu, anawezatokea mtu akamkutwa MwanajamiiOne benet na Shemeji Klorokwini (sikumwambia mpenzi Mbu),.... katuona Malaria Sugu mbiooo kwa Mbu (na kama ujuavyo kauli taarifa) MS kaweka chumvi na binzari kwenye taarifa yake...........Mbu sijamweleza leo nitakutana na Klorokwini (Kama Mbu ana hasira za karibu hakawii kujantoa roho mie au Klorokwini)

Hapana bwana whether shemeji anaaminika au la ni muhimu kupata cionsent ya mwenzako kama kweli unamjali.
Kama anaaminika huyo shemeji anathubutuje kutaka mkutano na mie (ambaye nimemfahamu kupitia kwa rafikie) pasipomjulisha mpenzi wangu? Hapana kwa kweli.

MJ1,

Naona bado tunazunguka pale pale...Consent...taarifa..ruhusa, yote kwangu ni maneno ya kumfanya mwanamke mtu ambaye lazima apewe go ahead kabla ya kufanya jambo lolote kama imani yake inamwambia hakuna ubaya wowote.

Mimi nilidhani unasema kuwa hayo mambo ya kumjulisha mwenzake yawe very organic...Kwa maana hiyo unaweza kumwambia kuwa sasa hivi naona kukutana na shemeji..kwa ajili ya 1, 2, 3.....au ukamweleza baada ya kuwa umekutana naye. Ila ikitokea upuuzi kama huu, unaamua kuuchuna. Nadhani nilishawambia kuwa jaribio lolote la kuifanya ndoa kuwa confession room ni sawa na death sentence...Shauri yao wasio sikia!!
 
Mazandu mbona kama harufu ya perfume yako naijua? nikumbushe tulikutana wapi vile?

Inauma sana au mwingine akikupigia mara mbili hujapokea simu anakukatia, ukimpigia bac hapokei na baada ya muda anakutumia sms..........msalimie huyo unayemgaia!! au endelea na uliyenaye kwa sasa , ukimaliza nijulishe nikupigie!.........kwa kweli inakera
 
mwanajamiione hivi mbona kila mtu ananisema? au hili jina ni matuc. unabadilishaje jina isiwe tabu.

Hebu basi tafakari haraka ...na uchukue hatua......Haaaki Eliiiiiimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!
 
mwanajamiione hivi mbona kila mtu ananisema? au hili jina ni matuc. unabadilishaje jina isiwe tabu.

Hata si matuc mpenz wangu ni vile tu kulikuwa na member alotumia jina hili........Sifa zake haikuwa kusema ukweli!!. Mi sijui wanabadilishaje but am sure utaupata msaada..JF ni mambo yote sweetheart
 
naona watu hawaelewi hapa...
nilivyolelewa mimi,mwanaume una majukumu makubwa kuliko
mwanamke......

kwetu sisi ni mwiko hata kutembea na ex wife wa rafiki yako..
achilia mbali mkewe wa kwenye ndoa.......

Sisi zamani tulikuwa hatuli kitimoto ya kuchoma!!! Lakini siku izi inalika vizuri tu !!!! Jipe uhuru na mpe uhuru mkeo na wale wanao kuzunguka !! Ugomvi wa nini kisa umetongozewa mke na rafiki yako ? Yeye ni binadamu na matamanio ni kitu cha kawaida kwa mwanadamu..Kashindwa kujizuia na kamtongoza mkeo kwanini urafiki ufe ? Kaa chini ongeana nae kwamba " Mkuu naona umezidiwa na umepata matamanio kama si kuchelewa...! Amina, Asha, Jane.....ni mke wangu na unajua hilo.. kwahiyo kama utakuwa unaendelea kumtongoza utakuwa unaniumiza mimi pasipo labda wewe kujua kwamba mimi nampenda sana mke wangu...!! Am sure heshima na urafiki wenu utaongezeka mara dufu kama kweli huyo ni rafiki yako..! Hivi unadhani kuua urafiki kutamfanya yeye asiweze kumtongoza mkeo ? Hapo ndipo utakuwa umempa nafasi zaidi ya kulifanya jambo hilo !!! CONTROL YOUR FEELINGS !! watakucheka watu !!!!!
 
asante sana mwanajamiione. mie huyo mtu simjui. natamani nibadili jina hili sasa. Mazandu ni jina la ukoo wetu
 
Back
Top Bottom