Rafiki wa mume wangu ananitaka

ushamuonyesha vitu fulani bwana..ushaona wapi nzi anatua kusafi
Kweli kabisa,Lazma alishapiga mahesabu yake, na jinsi unavyobehave kwake akajua lazma utakubal tu, vinginevyo asingethubutu hata kukutongoza tena alipie na chumba kabisa mhhhh miamekudharau sana sana.Wala usimwambie mumeo, jipange mwenyewe ulimalize.
 
sijawahi tembea nje ya ndoa much less hata nje ya uchumba. mi nimesema hivyo kwa maana kwamba angekua mtu wa mbali asietufahamu akantongoza ndo hapo ningemjuza kua mi ni mke wa mtu. shida ni huyu ambae anafaham fika kua mi ni mke wa rafikie. na hicho chumba ye ndo alinambia kwamba kachukua chumba maana anataka akaiseme hiyo shidake huko. kwa kuona mazingira hayo nikajua kua hana nia njema. ndio maana niliondoka.
 

+1 ..Majibu ndio hayo ..kwa msisitizo nime-highlight kwa nyekundu kama macho yako hayakuona kumbuka kuyafanyia kazi....
 
kwahiyo ina maana angekuwa kama hapo kwenye bold ungempa, si ndiyo? Jichunguze utakuwa na matatizo

nasema hivo nikimaanisha kwamba angekua mtu asienifahamu baada ya kusema ndo ningemjuza status yangu.
 

Mpatie mambo kudumisha urafiki....hiyo kitu haichakai wala kuacha shombo! Jirushe
 
uko unaujua wewe bhana, hapa tunashauriana tu
 
Kweli kabisa,Lazma alishapiga mahesabu yake, na jinsi unavyobehave kwake akajua lazma utakubal tu, vinginevyo asingethubutu hata kukutongoza tena alipie na chumba kabisa mhhhh miamekudharau sana sana.Wala usimwambie mumeo, jipange mwenyewe ulimalize.
unajua hawa ndo wale wanawake wakiona marafiki wa bwana zao wanakimbilia kioo kupandisha maziwa,kana kwamba haitoshi na vidalili vya ajabu ajabu wanatoa...weye huyu anaukichaa gani mpaka akodi na chumba kabisa!
 
unajua hawa ndo wale wanawake wakiona marafiki wa bwana zao wanakimbilia kioo kupandisha maziwa,kana kwamba haitoshi na vidalili vya ajabu ajabu wanatoa...weye huyu anaukichaa gani mpaka akodi na chumba kabisa!
... wanajidhalilisha to say the least

sometimes wanajipendekeza hadi wanaboa
 

hakuna hata migogoro kwa kweli. mtu mwenyewe huwa sionani nae mara kwa mara. yee hutuma ujumbe wa salamu nami humjibu kwa nidhamu ipasayo. na hata hiyo kwenda kumwona ni kwavile alisisitiza alikua anashida sana na alitaka nimhelp. kwa ufupi tu ni kwamba kuna kipindi waliwahi kua na ugomvi na mkewe wakati akiwa mjamzito na nilimhelp kumsihi mkewe kumsamehe ( maana ilikua kesi mbaya ya kutembea na hg wao) sasa hata aliponiita kwa dharura nilijua ni jambo la kifamilia pia ndio maana sikusita kwenda kumsikiliza.
 
unajua hawa ndo wale wanawake wakiona marafiki wa bwana zao wanakimbilia kioo kupandisha maziwa,kana kwamba haitoshi na vidalili vya ajabu ajabu wanatoa...weye huyu anaukichaa gani mpaka akodi na chumba kabisa!



...acha kumuhukumu mwenzio,
unless una uhakika na unachokisema shosti
 
Unavyosema "bora hata angekua simjui au hana ukaribu na familia sasa huyu wako marafiki na ni mtu tunaemvalue kama rafiki kumbe ajenda zake mbovu" unamaanisha kwamba angekuwa ni mtu ambaye huwa unawakubalia wakulambe wanaume ambao hawana relationship na familia yenu
 


kisasangwe wala usiwe na jazba pamoja na watu wengine hapa kukulaumu kwa namna moja,
Ila lazima utambue kuwa kuna midume mingine haina haya hata kidogo,
domo lake limekaa kutongoza tongoza kila skirt linaloiona inapita usoni kwake,
kuna siku waweza tongoza hata mama zao wadogo...................................

Mpotezee tu huyo, tena mbaya kwakuwa ana mke lakini bado anataka chokonoa wengine,
midume kama hii ni kuitandika vibao tu, yeye anafikiri urijali ndo kutongoza tongoza.............?
 
Dawa ya huyo nikumteka..
Beba ka voice recorder kwenye
Pocha la mkononi kutananae tena
Mrikodi halafu hapo ndio umkabidhi mumeo.

Maana kuna wanaume wengine huwaamin
marafiki zao kuliko wake zao. Sababu tu
Wamejuana kwa muda.
Nimeipenda hii style ya kiintelijensia...
 
Hujamaliza vizuri kwani hujasema ulifanya nini baada ya kuambiwa. Chumba mlikitumia? Isijekuwa ali-perform poorly ndo maana umemleta Jamvini

haahahha jamani bora ncheke mie. hata sikuendelea kumsikiza. nilinyanyuka na kuondoka na wala huko kwenye chumba sikusogea. yeye tu alisema kwamba amechukua chumba ili tupate faragha anieleze shida yake. kwa namna alivokua kashakunywa sikutaka hata kumjibisha maana niliona hakustahili kujibiwa.
 
Je wakati unaenda huko kwa huyo shemeji yako, ulimuambia mume wako kwamba shemeji ameniita? kama ulimuambia itakuwa rahisi sana yeye mume wako kuamini, ila kama hukumuambia mh!!!!!!!!! Cha msingi umjulishe mumeo tabia ya rafiki yake na ikiwezekana nenda akikuita kwa mara nyingine kisha umrekodi itakusaidia sana kutoa ushahidi kwa mume wako hasa kama wameivana naye sana na kama unavyosema mnamheshimu coz husband anaweza asikuelewe
 

Mimi hapo nimepapenda, kumbe asingekuwa mtu wa karibu ungemkubalia? Duh! kazi ipo kwenye ndoa zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…