Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,292
- 2,566
Umekaribia kutoboa,usiondoke kanisani utaharibikiwa.Mi nikienda kanisani mambo yanazidi kua magumu wenzangu wakienda vitu vinanyooka.
Nitaenda kwa waganga wanne kama case study na kurudisha majibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekaribia kutoboa,usiondoke kanisani utaharibikiwa.Mi nikienda kanisani mambo yanazidi kua magumu wenzangu wakienda vitu vinanyooka.
Nitaenda kwa waganga wanne kama case study na kurudisha majibu.
Habr za muda, wataalam mlioko hap naomb ufafanuzi.
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔
Na Mimi ninayo hii shida
Pole MKUU..... Huenda sio njia sahihi kwako jaribu kutafuta alternative ( upande WA pili)
Huyo ni kipenzi cha Mungu, Mungu hataki kumpeleka motoni Kwa dhambi ya shirki.....
Dawa aamke kila siku saa Tisa usiku, Kwa Imani yake aongee na Mola wake....pia atoe sadaka ya Siri.
Mkuu si useme tu ni wewe shida iko wapi! ukiona upande huo haufanikiwi mlilie Mungu hakuna kinachoshindikana kwake.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.!!!!
Kuna kitu kibaigwa usugu wa sawa kutokana na kukosa tiba sahihi Huku ugonjwa halisi ukiendelea kukutesa na kukuumiza.. Niliwahi kukutana na hiyo changamoto! Nikatibiwa hospital kama 5 tofauti kwa muda wa miezi mitatu kumbe nilikuwa natibiwa magonjwa ambayo nilikuwa siumwi[emoji35]
Sasa kwenye tiba za kienyeji hali ndio mbaya zaidi kwakuwa inaumiza mwili, inaumiza ufahamu na inaumiza ustawi wa kiroho
1. Mwili unaathirika kutokana na maumivu ya kuchanjwachanjwa kila wakati na kuachiwa makovu.
. Mwili unaathirika kutokana kupewa madawa yasiyo na vipimo vya maabara na kuchuja sumu.. Hivyo unazichosha figo na madini yako
. Mwili unaathirika kutokana na uchovu, kutokula vizuri, wasiwasi, kuamshwa usiku mwing, nknk
2. Kuumiza ufahamu.. Unapewa masharti ambayo kwa hali ya kawaida usingeweza kuyafanya
. Dhana ya kuona unazidi kupoteza muda na pesa lakini hufanikiwi utajayo
. Msongo wa mawazo nknk
3. Ustawi wa kiroho
. tiba za asili kwa akili ya hayo mambo huwa zinashughulika na roho zaidi.. Binadamu huwa ni msafi kiroho bila kujali dhambi zake mpaka pale anapoingia kwenye hizo mishe
. Tiba yoyote wenye kujihusisha na ushirikina hiyo ni madhabahu ya roho.. Hivyo kila unapobadili mtaalam unajenga madhabahu mpya rohoni mwako.. Kwahiyo baada ya muda badala ya zile tiba kukusaidia, kinajitokeza kitu kipya.. Mapigano ya kiroho kugombea umiliki wa mwili wako.. Manake mwili wako ndio makazi yao. Hapo unadhani kuna kupona?
. Tiba zinatofautiana nguvu kuna nyingine hutibu haraka na nyingine huchelewa kutokana na nguvu ya kiroho ya mtu hivyo hupaswi kuhangaika Huku na kule
. Kuna miili na kuna roho zina mzio mkubwa na wavamizi.. Hivyo unapotumia hizo tiba unaleta kitu kipya kisichotakiwa na wenyeji.. Kiasili miili na roho zetu vina nguvu za asili za kuweza kupambana na kushinda bila msaada wa maroho mengine..
Mwisho ogopeni sana shuhuda za watu kwenye hayo mambo .. Ukiachilia mbali madalali kuna wengine hushuhudia bila ithibati na wengine ni promo tuu..
Huyo ndugu kwasasa mwili wake umechafuliwa na kila aina ya tiba.. Kila mtu ana kipimo chake katikati maisha ..hatufanani kamwe hivyo asijilinganishe na wengine..atakufa kwa mawazo
Achukue muda kuutakasa mwili na roho yake.. Avipumzishe hivi viwili vifanye kazi kwa msaada wa chumvi.. Ili yale maroho yafunge virago yaondoke MOJA baada ya lingine mpaka atakasike asafishike kabisa kisha ataona matokeo..[emoji1545]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nikienda kanisani mambo yanazidi kua magumu wenzangu wakienda vitu vinanyooka.
Nitaenda kwa waganga wanne kama case study na kurudisha majibu.
Uko sahihi kabisa Mimi nimeliona hilo yaani huyo akimgeukia Mungu mazima bila kupinda kushoto wala kulia aisee mtashangaa atakavyofanikiwa
Hapo upande Wa Mungu unamuhitaji hivyo hizo nguvu za Giza haziwezi leta matokeo maana tayari kunamamlaka kuu zaidi imeshafanya booking hapo
Ni swala la Muda tu na ameachwa ahangaike ili akitoka hapo abaki na njia moja tu yaani Kwenye mamlaka ya Nuru so anaandaliwa asiwe Mwenye kugeuka geuka
kwani ukisema ni wewe huyo unayetaka tiba utapungukiwa na nini.Habr za muda, wataalam mlioko hap naomb ufafanuzi.
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔
Destiny is all.Habr za muda, wataalam mlioko hap naomb ufafanuzi.
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔
Nilikusoma sehemu flani, nachoweza kukusahauri punguza Sonona, furahia na shukuru baraka zako....shukuru Kwa afya, shukuru huna ulemavu, shukuru umesoma una vyeti......kwenye maombi shukuru zaidi badala ya kulalamikaHii itakua kweli
SawaNilikusoma sehemu flani, nachoweza kukusahauri punguza Sonona, furahia na shukuru baraka zako....shukuru Kwa afya, shukuru huna ulemavu, shukuru umesoma una vyeti......kwenye maombi shukuru zaidi badala ya kulalamika
Kisha anza kujipenda, jipende oga, jisugue, pendeza....watu wanaheshimu watu wanaopendeza.....pia kupendeza inaleta kujiamini na inafanya roho yako irelax.
unahitaji watu, jitoe out ukutane na watu....nenda sehemu ambazo utakutana na watu unaotamani kuonana nao, be charming ( Usiwe chupi mkononi)
Mwisho anza kumanifest mafanikio, assume umepata Kazi, assume namna utavyoutumia mshahara wako wa Kwanza.....vuta picha, vuta Ile furaha utayokuwa nayo na utabasamu as if umeshafanikiwa....
Fanya hayo, utanisimulia.
Huyo kama mimi... Mpaka nimeamua kubaki kwa Mungu aliye hai tu...nilisimama vyema kwenye imani nafanikiwaHabr za muda, wataalam mlioko hap naomb ufafanuzi.
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔
Mkuu mpe pole zake huyo rafiki yako mwambie anitafute mimi Herbalist Doctor MziziMkavu nipate kumtibia ili aweze kufunguka nyota yake na vifungo mikosi majini mahaba wote wapate kumtoka mambo yake ya maisha yaende vizuri. Mpe salaam zangu.Habr za muda, wataalam mlioko hap naomb ufafanuzi.
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔
Mwambie aanze kuwachaji wale anaowaelekeza huko. Labda mafanikio yake yapo hapo na yy hayaoniHabr za muda, wataalam mlioko hap naomb ufafanuzi.
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔
Kaka habari yako, mimi nina tatizo mdomo(lips) zinakauka sana na kutoa magamba mdomo umekuwa mwekundu sana ,tatizo lina muda wa miaka 8 na halijawahi kuisha nimejaribu dawa za kila aina za hospitali hadi kwa ma specialist wa ngozi sijapona ,naomba unisaidie tatizo langu hata kama kuna dawa za mitishamba , tatizo linanitesa sana ,naomba msaada wako maana una ujuzi wa tiba za asili ,huenda nikaponaTiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.!!!!
Kuna kitu kibaigwa usugu wa sawa kutokana na kukosa tiba sahihi Huku ugonjwa halisi ukiendelea kukutesa na kukuumiza.. Niliwahi kukutana na hiyo changamoto! Nikatibiwa hospital kama 5 tofauti kwa muda wa miezi mitatu kumbe nilikuwa natibiwa magonjwa ambayo nilikuwa siumwi[emoji35]
Sasa kwenye tiba za kienyeji hali ndio mbaya zaidi kwakuwa inaumiza mwili, inaumiza ufahamu na inaumiza ustawi wa kiroho
1. Mwili unaathirika kutokana na maumivu ya kuchanjwachanjwa kila wakati na kuachiwa makovu.
. Mwili unaathirika kutokana kupewa madawa yasiyo na vipimo vya maabara na kuchuja sumu.. Hivyo unazichosha figo na madini yako
. Mwili unaathirika kutokana na uchovu, kutokula vizuri, wasiwasi, kuamshwa usiku mwing, nknk
2. Kuumiza ufahamu.. Unapewa masharti ambayo kwa hali ya kawaida usingeweza kuyafanya
. Dhana ya kuona unazidi kupoteza muda na pesa lakini hufanikiwi utajayo
. Msongo wa mawazo nknk
3. Ustawi wa kiroho
. tiba za asili kwa akili ya hayo mambo huwa zinashughulika na roho zaidi.. Binadamu huwa ni msafi kiroho bila kujali dhambi zake mpaka pale anapoingia kwenye hizo mishe
. Tiba yoyote wenye kujihusisha na ushirikina hiyo ni madhabahu ya roho.. Hivyo kila unapobadili mtaalam unajenga madhabahu mpya rohoni mwako.. Kwahiyo baada ya muda badala ya zile tiba kukusaidia, kinajitokeza kitu kipya.. Mapigano ya kiroho kugombea umiliki wa mwili wako.. Manake mwili wako ndio makazi yao. Hapo unadhani kuna kupona?
. Tiba zinatofautiana nguvu kuna nyingine hutibu haraka na nyingine huchelewa kutokana na nguvu ya kiroho ya mtu hivyo hupaswi kuhangaika Huku na kule
. Kuna miili na kuna roho zina mzio mkubwa na wavamizi.. Hivyo unapotumia hizo tiba unaleta kitu kipya kisichotakiwa na wenyeji.. Kiasili miili na roho zetu vina nguvu za asili za kuweza kupambana na kushinda bila msaada wa maroho mengine..
Mwisho ogopeni sana shuhuda za watu kwenye hayo mambo .. Ukiachilia mbali madalali kuna wengine hushuhudia bila ithibati na wengine ni promo tuu..
Huyo ndugu kwasasa mwili wake umechafuliwa na kila aina ya tiba.. Kila mtu ana kipimo chake katikati maisha ..hatufanani kamwe hivyo asijilinganishe na wengine..atakufa kwa mawazo
Achukue muda kuutakasa mwili na roho yake.. Avipumzishe hivi viwili vifanye kazi kwa msaada wa chumvi.. Ili yale maroho yafunge virago yaondoke MOJA baada ya lingine mpaka atakasike asafishike kabisa kisha ataona matokeo..[emoji1545]
Sent using Jamii Forums mobile app