Rafiki yangu alijiua kisa mapenzi

Kujiua hapana lakini mateso hayaepukiki,leo unamuuza huyu kesho unaumizwa na yule,that’s life is
 
Mimi nina Msemo huu Life is 10% and 90% how we react to It..

We should Know how to control how we react to Emotions stress kama za Mapenzi. Maana Huwezi Ku-control Mwenzi wako kutokukucheat.. Ni uamuzi wake mwenywe
 
ACHENI Ujinga nyie wachawi wooote hawa bado jitu linakuzingia tuuu!! piga kipapai mpaka demu aweweseke arudi maskani...tena hapo ndo mmbote mpaka kwa hasira km zote!

azae km mara tano hivi halafu muachie atamabe zake huko akaweweseke na mamimba!! dume zima unalia demu kakuacha??mpwiwiwi!
 
Hii ni chai. Maiti ina siku kadhaa ndani. Ulijuaje amemeza vidonge 30. Kama sio chai pole kwa msiba. Ila ni chai
 
majina ya aisha hayajawahi kuacha mtu salama.
 
Mimi nawaza jinsi gani nisiwaumize ila kuna watu wanajiua kisa wameumizwa.
 
Kifupi ni kwamba Aisha kaisha, kila kifo kina sababu, na sababu ya kifo cha Mwamba James ni Aisha.

See you Again Mwamba.

Kuna Mwanangu kaliwa na Mamba juzi kushinda jana, nilikuwa nae akaniambia mwanangu nina hamu na kambale kishenzi, nikamuambia jamaa shika buku kanunue bichwa usukume mchana, kumbe mwamba katoka pale kaenda Mtoni, basi huko huko ndio kakutana na kifo chake, kaliwa yeye na lile buku alikuwa nalo mfukoni, kafa kabla hajala *****! Kifo ni siri ndugu zangu. Kipo na hakikwepeki.
 
Wanangu mi mwanenu kabisa nawaambia KAMA HUNA PESA ACHANA NA MAPENZI
 
K
Kafa kizembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…