Kwani rafiki ako bado hajapona tu??
Psychological issue!!! Labda pa kuanzia, unahic katika ubongo wake kuna shida gani?Hiyo ni psychological issue... Atafute tiba ya kisaikolojia zaidi atapona atakuw sawa... Huyo jamaa ni mzima tena mzima kabisa suala hapo lipo kwenye ubongo wake na namna anavyolichukulia tendo
Doh umepotea kweliWakuu JF,
Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.
Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.
Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.
Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.
Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.
Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Mmm! Swali lako gumu, uliza swali jepecDoh umepotea kweli
Mimi nina swali kabla hawajaoana mahusiano yao yalikuwaje sure ndio aliolewa bikra au aliolewa na jamaa kwa walokole jamaa akijificha Hali yake? !
Me nahisi hapo kuna ka mchezo ameizing
Uje na huku STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
Basi usingeandika thread myMmm! Swali lako gumu, uliza swali jepec
Nitafute tushauriane ...0685580057,, situmii sana mitandao ...ila tatzo lake limegawika sehem mbili na nikimhoj maswala ntajua ..sis tunatibu kwa dawa za kisunnaWakuu JF,
Kwanza kabisa habarini za miaka, nilipotea kwa sababu za mihangaiko ya hapa na pale. Nchi imegeuka na sasa ni kufanya kazi kwa bidii.
Lakini pamoja na yote haya, kuna rafiki yangu ana shida sugu ambayo inamfanyA ndoa yake iwe tete. Ni hivi, uume unasinyaa pale anapofikia kuuingiza kwenye uke, lakini kabla ya hapo huwa unasimama vizuri tu.
Hata akiwa anatembea, mara nyingi uume unasimama kweli kweli ikitokea. Ila akiwa faragha na mke wake akikiss, akimchezea na mpaka akiwa anamvua pichu, unasimama according tu yeye alivyonielezea, ila kitendo cha kutaka kuanza kuchomeka in, ndiyo ngoma inalala. Hivyo inabidi wakati wa kuuchomeka, mke wake anakuwa anaushikilia ili ajichomeke kwenye uke wake.
Inachukua muda kama hata masaa mawili, mpaka kuna wakati ndiyo unafanikiwa uume kuingia kwenye uke, then jamaa ndiyo anapiga Show, kama kawaida goli la kwanza ni dk 1 au 2 hivi. Baada ya hapo inabidi aanze tena, mambo yale yale, ikafika wakati ikabidi atafute michepuko mingine, hali ikawa ni hivyo hivyo the same.
Yaani nahuzunika kwamba jamaa ishu yake haiwezi ku penetrate mpaka ashikiwe na anayemfanya then ndiyo inaingia tena kwa tabu. Kula anakula vizuri, anafanya mazoezi safi, anapokuwa kwenye tendo mawazo yake yapo pale. Leo nimeona nitumie fursa kuwauliza, je tatizo ni nini? Ni seriously issue mpaka namuonea huruma.
Otherwise tuendelee kujenga nchi kwa uzalendo.
Ni dawa alizoelekeza mtume ni za kiarabu na pia tunatumia za kihindi ....umesema hta ikisimama ana maliza DKK moja ?? ...hana nguvu pia ....ila ka n tatzo jinn tutajua pia .....ka atahitajiDawa za kissuna ni zp?
Ni yeye mwenyewe ndo mgonjwa.Wewe ndo msemaji wake? Au ndo ku-washwa washwa kusema
OK njoo wewe ili tuweke Utaratibu wa kuzungumza nayeHayupo JF
Je amepata huduma hospital au za wagangaAnaendelea kupata tiba, ss hivi ana nafuu kuliko hapo mwanzo