Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Halloo,
Nina rafiki yangu mpenzi jana kanilalamikia kuwa anahisi kuna mtu ana mahusiano ya kimapenzi na mkewe, ila ameshindwa kumkamata kwa sababu saa zote mkewe anafuta message zote kwenye inbox na sent items lakini msg counter inaonyesha kwamba kuna msg nyingi tu zimetumwa.
Naombeni basi kama kuna mtu anajua jinsi au mahali anapoweza kuretrieve hizo message. Simu anayotumia ni ya kichina na line ni ya TIGO.
Please help cause this is serious na jamaa yupo kwenye hali mbaya.
Thanx.
Halloo,
Nina rafiki yangu mpenzi jana kanilalamikia kuwa anahisi kuna mtu ana mahusiano ya kimapenzi na mkewe, ila ameshindwa kumkamata kwa sababu saa zote mkewe anafuta message zote kwenye inbox na sent items lakini msg counter inaonyesha kwamba kuna msg nyingi tu zimetumwa.
Naombeni basi kama kuna mtu anajua jinsi au mahali anapoweza kuretrieve hizo message. Simu anayotumia ni ya kichina na line ni ya TIGO.
Please help cause this is serious na jamaa yupo kwenye hali mbaya.
Thanx.
Hizi handset za mobile zina madhara ya kisayansi (miyonzi) kwa mwanadamu. Kwa utafiti wangu mdogo madhara yake kwa mahusiano ni mabaya zaidi kuliko hayo ya kisayansi maana magonjwa ya moyo yatokanayo na cheating ni makubwa zaidi. Ni balaa hizi!! Twendeni taratibu!
Mie ndio maana mke wangu nimemwekea tego ukigusa unanga'nga'nia
.....Naombeni basi kama kuna mtu anajua jinsi au mahali anapoweza kuretrieve hizo message. Simu anayotumia ni ya kichina na line ni ya TIGO.
Please help cause this is serious na jamaa yupo kwenye hali mbaya.
Thanx.