Habari zenu wadau!
Kuna Dada mmoja nilisoma nae chuoni nikawa nampenda sana,nikamtongoza ila akadai anahitaji muda ili aamue,baada ya muda akaniambia kuwa anahitaji muda zaidi ili amalizie commitment zake huko kwao Shinyanga,kwa madai kuwa anajenga nyumba ya wazazi wake,sasa hivi karibuni December 2010 nilimtembelea nyumbani kwake nikakuta anaishi na kijana mmoja ambaye yeye anadai kuwa ni kaka yake wa damu,alinitambulisha kama rafiki yake wa kiume ila sijawahi(ingawa sijawahi kula tunda),nilipomuuliza kwa nini anaishi nae akasema kuwa siwezi kuelewa sababu ni stori ndefu kidogo ila ndio maana ananiambia kuwa anahitaji muda kurekebisha mambo ya nyumbani kwao,ili tuweze kuwa pamoja,nimejaribu kumshawishi ila inashindikana,sasa siku za karibuni alinipa taarifa ya kuwepo nafasi ya kazi ofisini kwao,niliikataa na nilipokutana nae akanishangaa sana kwa nini nilikataa kazi ile kwa madai kuwa mshahara ni mkubwa sana,alinisalimia kwa mahaba makubwa sana mpaka nikawa naona aibu hasa maeneo yale ya Posta,nikamueleza kuwa bado nasubiri hayo mambo yake yataisha lini akaniambia kuwa nisubiri tu ila nielewe kuwa ananipenda sana na anatamani kuwa na mimi ila majukumu yanambana sana! Naomba ushauri wadau!
Kuna Dada mmoja nilisoma nae chuoni nikawa nampenda sana,nikamtongoza ila akadai anahitaji muda ili aamue,baada ya muda akaniambia kuwa anahitaji muda zaidi ili amalizie commitment zake huko kwao Shinyanga,kwa madai kuwa anajenga nyumba ya wazazi wake,sasa hivi karibuni December 2010 nilimtembelea nyumbani kwake nikakuta anaishi na kijana mmoja ambaye yeye anadai kuwa ni kaka yake wa damu,alinitambulisha kama rafiki yake wa kiume ila sijawahi(ingawa sijawahi kula tunda),nilipomuuliza kwa nini anaishi nae akasema kuwa siwezi kuelewa sababu ni stori ndefu kidogo ila ndio maana ananiambia kuwa anahitaji muda kurekebisha mambo ya nyumbani kwao,ili tuweze kuwa pamoja,nimejaribu kumshawishi ila inashindikana,sasa siku za karibuni alinipa taarifa ya kuwepo nafasi ya kazi ofisini kwao,niliikataa na nilipokutana nae akanishangaa sana kwa nini nilikataa kazi ile kwa madai kuwa mshahara ni mkubwa sana,alinisalimia kwa mahaba makubwa sana mpaka nikawa naona aibu hasa maeneo yale ya Posta,nikamueleza kuwa bado nasubiri hayo mambo yake yataisha lini akaniambia kuwa nisubiri tu ila nielewe kuwa ananipenda sana na anatamani kuwa na mimi ila majukumu yanambana sana! Naomba ushauri wadau!