Rafiki yangu anasumbuliwa na shoga. Je, achukue hatua gani za haraka ?

Rafiki yangu anasumbuliwa na shoga. Je, achukue hatua gani za haraka ?

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Wakuu niwape pole kwa maafa yalioikumba nchi yetu kufatia kuporomoka kwa jengo la biashara mjini dar es Salaam mitaa ya kariakoo na pia natoa wito kwa vyombo kuharakisha uokozi ili watu walio chini wafikiwe haraka na wakutwe wako Hai


Sasa baada ya utangulizi huo niende kwenye mada kama nilivyo tajwa hapo juu

Ni hv nina jamaa angu na rfk angu pia ni muajiriwa katika ofisi ya Rais Tamisemi
Yey hana kipato kikubwa sna ila ana rfk ake ambae ni muajiri wa Taasisi kubwa ya fedha nchini ambae anafanya kaz moja ya wilaya flani ktk mkoa x wote wako mkoa mmoja

Sasa jamaa aliwai niambia kuwa jamaa ake ni pilau nikamkatalia ila baadae kaleta ushahid kwa jins jamaa anavyo msumbua jamaa angu wa tamisemi j hadi jamaa angu kakosa amani akidhani hii ni laaan gani hii hadi shoga amtake kwa nguvu na kutumia ushawish wa pesa ili jama akubali, a najiuliza inamana huyu shoga anamuona tu yeye haoni watu wengine

Week nzima iliyo pita jamaa shoga anamsumbua jamaa angu akitak akamle ndogo yake na jamaa shoga yuko tayari kulipia hotel kubwa ili jmaa wa tamisemi akamtindue vzr

Huyu shoga ana pesa ana familia pia ameajiriwa katk taasis kubwa ya pesa sijui amepatw na nn kwani ukimuona Uwez mdhania kuwa analiwa ndogo kwa pesa zake kwa gharama zake

Jamaa amaepnga kwenda kumshtaki kwa dawati la jinsi au kwa waziri gwajima ili aitwe akanywe na aache tabia ya kutumia katuma msg za hovyo kwemye simu ya jamaa kwani anamuahatarisha mausiano yake na mpenzi wake na anajuwa kbsa endapo atampiga itakuja julikana na heshima yake itashuka sna

Ananiomba ushauri ni hatua gani achukuwe for the first time anauliza je akifungua kesi police je kuna kesi hapo?

Nitatuma screen shot za shoga akimtongoza jamaa na kumuandikia msg za kipumbavu

Na kama kuna mtu anataka nmba za shoga huyu niko tayari kuwasilisha hapa hPa ili apigwe akanywe
 
Wakuu niwape pole kwa maafa yalioikumba nchi yetu kufatia kuporomoka kwa jengo la biashara mjini dar es Salaam mitaa ya kariakoo na pia natoa wito kwa vyombo kuharakisha uokozi ili watu walio chini wafikiwe haraka na wakutwe wako Hai


Sasa baada ya utangulizi huo niende kwenye mada kama nilivyo tajwa hapo juu

Ni hv nina jamaa angu na rfk angu pia ni muajiriwa katika ofisi ya Rais Tamisemi
Yey hana kipato kikubwa sna ila ana rfk ake ambae ni muajiri wa Taasisi kubwa ya fedha nchini ambae anafanya kaz moja ya wilaya flani ktk mkoa x wote wako mkoa mmoja

Sasa jamaa aliwai niambia kuwa jamaa ake ni pilau nikamkatalia ila baadae kaleta ushahid kwa jins jamaa anavyo msumbua jamaa angu wa tamisemi j hadi jamaa angu kakosa amani akidhani hii ni laaan gani hii hadi shoga amtake kwa nguvu na kutumia ushawish wa pesa ili jama akubali, a najiuliza inamana huyu shoga anamuona tu yeye haoni watu wengine

Week nzima iliyo pita jamaa shoga anamsumbua jamaa angu akitak akamle ndogo yake na jamaa shoga yuko tayari kulipia hotel kubwa ili jmaa wa tamisemi akamtindue vzr

Huyu shoga ana pesa ana familia pia ameajiriwa katk taasis kubwa ya pesa sijui amepatw na nn kwani ukimuona Uwez mdhania kuwa analiwa ndogo kwa pesa zake kwa gharama zake

Jamaa amaepnga kwenda kumshtaki kwa dawati la jinsi au kwa waziri gwajima ili aitwe akanywe na aache tabia ya kutumia katuma msg za hovyo kwemye simu ya jamaa kwani anamuahatarisha mausiano yake na mpenzi wake na anajuwa kbsa endapo atampiga itakuja julikana na heshima yake itashuka sna

Ananiomba ushauri ni hatua gani achukuwe for the first time anauliza je akifungua kesi police je kuna kesi hapo?

Nitatuma screen shot za shoga akimtongoza jamaa na kumuandikia msg za kipumbavu

Na kama kuna mtu anataka nmba za shoga huyu niko tayari kuwasilisha hapa hPa ili apigwe akanywe
Afanye kumblock tu kila mahali na amwambie kwa uso wa kazi kuwa aache kumletea laana yake.
Mimi kuna mtu tuliwahi kuwa majirani. Ameoa ana mke na watoto wawili.
Kwa sababu tulikuwa tunapanga hapo kila mtu kuna muda alihama. Mimi nilihama 2019, ikapita miaka hiyo yite hatuwasiliani.
Mwanzoni mwa mwaka huu akanitafuta. Akaanzia mbali kweli kumbe ananipeleka kuniambia ye shoga anataka niwe basha wake.
Aisee jamaa nilimwambia asirudie tena kunipigia simu nikamblock kila mahali.
Amwambie akiwa ameweka uso wa kazi.
 
Wakuu niwape pole kwa maafa yalioikumba nchi yetu kufatia kuporomoka kwa jengo la biashara mjini dar es Salaam mitaa ya kariakoo na pia natoa wito kwa vyombo kuharakisha uokozi ili watu walio chini wafikiwe haraka na wakutwe wako Hai


Sasa baada ya utangulizi huo niende kwenye mada kama nilivyo tajwa hapo juu

Ni hv nina jamaa angu na rfk angu pia ni muajiriwa katika ofisi ya Rais Tamisemi
Yey hana kipato kikubwa sna ila ana rfk ake ambae ni muajiri wa Taasisi kubwa ya fedha nchini ambae anafanya kaz moja ya wilaya flani ktk mkoa x wote wako mkoa mmoja

Sasa jamaa aliwai niambia kuwa jamaa ake ni pilau nikamkatalia ila baadae kaleta ushahid kwa jins jamaa anavyo msumbua jamaa angu wa tamisemi j hadi jamaa angu kakosa amani akidhani hii ni laaan gani hii hadi shoga amtake kwa nguvu na kutumia ushawish wa pesa ili jama akubali, a najiuliza inamana huyu shoga anamuona tu yeye haoni watu wengine

Week nzima iliyo pita jamaa shoga anamsumbua jamaa angu akitak akamle ndogo yake na jamaa shoga yuko tayari kulipia hotel kubwa ili jmaa wa tamisemi akamtindue vzr

Huyu shoga ana pesa ana familia pia ameajiriwa katk taasis kubwa ya pesa sijui amepatw na nn kwani ukimuona Uwez mdhania kuwa analiwa ndogo kwa pesa zake kwa gharama zake

Jamaa amaepnga kwenda kumshtaki kwa dawati la jinsi au kwa waziri gwajima ili aitwe akanywe na aache tabia ya kutumia katuma msg za hovyo kwemye simu ya jamaa kwani anamuahatarisha mausiano yake na mpenzi wake na anajuwa kbsa endapo atampiga itakuja julikana na heshima yake itashuka sna

Ananiomba ushauri ni hatua gani achukuwe for the first time anauliza je akifungua kesi police je kuna kesi hapo?

Nitatuma screen shot za shoga akimtongoza jamaa na kumuandikia msg za kipumbavu

Na kama kuna mtu anataka nmba za shoga huyu niko tayari kuwasilisha hapa hPa ili apigwe akanywe
Hadithi Njoo uongo Njoo utamu kolea
 
Huyo jamaa yako anatamani sema sitaki nataka,kashindwa kumkatalia huyo jamaa mpaka kaomba ushauri !?,mwambie tu mwanzo wa ushoga ni kula mashoga,Pia ukisema jamaa ana fedha na anafanya taasisi ya fedha wilayani huko unaleta ukakasi.Unajua maana ya mtu mwenye fedha wewe.
 
Afanye kumblock tu kila mahali na amwambie kwa uso wa kazi kuwa aache kumletea laana yake.
Mimi kuna mtu tuliwahi kuwa majirani. Ameoa ana mke na watoto wawili.
Kwa sababu tulikuwa tunapanga hapo kila mtu kuna muda alihama. Mimi nilihama 2019, ikapita miaka hiyo yite hatuwasiliani.
Mwanzoni mwa mwaka huu akanitafuta. Akaanzia mbali kweli kumbe ananipeleka kuniambia ye shoga anataka niwe basha wake.
Aisee jamaa nilimwambia asirudie tena kunipigia simu nikamblock kila mahali.
Amwambie akiwa ameweka uso wa kazi.
Hata mm naisi jamaa angu anamuendekeza San huyu shoga ni kitambo tu aliniambia ila jana ndio imekuwa kali jamaa alipost picha yake dp shoga anamfTa na kumuambia kipara nimekumiss jmn"
 
Back
Top Bottom