Rafiki yangu anasumbuliwa na shoga. Je, achukue hatua gani za haraka ?

Rafiki yangu anasumbuliwa na shoga. Je, achukue hatua gani za haraka ?

Wakuu niwape pole kwa maafa yalioikumba nchi yetu kufatia kuporomoka kwa jengo la biashara mjini dar es Salaam mitaa ya kariakoo na pia natoa wito kwa vyombo kuharakisha uokozi ili watu walio chini wafikiwe haraka na wakutwe wako Hai


Sasa baada ya utangulizi huo niende kwenye mada kama nilivyo tajwa hapo juu

Ni hv nina jamaa angu na rfk angu pia ni muajiriwa katika ofisi ya Rais Tamisemi
Yey hana kipato kikubwa sna ila ana rfk ake ambae ni muajiri wa Taasisi kubwa ya fedha nchini ambae anafanya kaz moja ya wilaya flani ktk mkoa x wote wako mkoa mmoja

Sasa jamaa aliwai niambia kuwa jamaa ake ni pilau nikamkatalia ila baadae kaleta ushahid kwa jins jamaa anavyo msumbua jamaa angu wa tamisemi j hadi jamaa angu kakosa amani akidhani hii ni laaan gani hii hadi shoga amtake kwa nguvu na kutumia ushawish wa pesa ili jama akubali, a najiuliza inamana huyu shoga anamuona tu yeye haoni watu wengine

Week nzima iliyo pita jamaa shoga anamsumbua jamaa angu akitak akamle ndogo yake na jamaa shoga yuko tayari kulipia hotel kubwa ili jmaa wa tamisemi akamtindue vzr

Huyu shoga ana pesa ana familia pia ameajiriwa katk taasis kubwa ya pesa sijui amepatw na nn kwani ukimuona Uwez mdhania kuwa analiwa ndogo kwa pesa zake kwa gharama zake

Jamaa amaepnga kwenda kumshtaki kwa dawati la jinsi au kwa waziri gwajima ili aitwe akanywe na aache tabia ya kutumia katuma msg za hovyo kwemye simu ya jamaa kwani anamuahatarisha mausiano yake na mpenzi wake na anajuwa kbsa endapo atampiga itakuja julikana na heshima yake itashuka sna

Ananiomba ushauri ni hatua gani achukuwe for the first time anauliza je akifungua kesi police je kuna kesi hapo?

Nitatuma screen shot za shoga akimtongoza jamaa na kumuandikia msg za kipumbavu

Na kama kuna mtu anataka nmba za shoga huyu niko tayari kuwasilisha hapa hPa ili apigwe akanywe
Hakuna haja ya kumshtaki
wala asimchukie
aoneshe upendo tu kwa jamaa na hatamsumbua tena
 
Unawezaje kuomba ushauri Kwa Upuuzi kama huu....!

Kazi yenu humu kuwaambia Wanawake, ooh Wanawake hawawezi kukataa, hawajui kusema hapana.....!

Sasa Leo Mwanaume mtu mzima anakuja hapa kuomba Ushaurii eti Shoga anamtomgoza afanye nini!?.....! Stupidity on it high level..!

Always husema ghafla Wanaume Wakawa Wanawake na Wanawake Wakawa Wanaume....! Wanaume wengi watakua wanagomgwa ovyo ovyo kila sehemu....!

Kweli Mwanaume unakuja kuomba ushauri kwamba ufanye Nini Shoga anakusumbua....!

Foseg....!"
 
Hawa wapo, najua mahali fulani wameajiriwa wapo wawili,

Hata huyu Mheshimiwa mnayetaka kumshtakia, anajua pasi na shaka kuwa wapo katika yetu.

Sijui kwa nini umeamua kuja huku, hawa watu wapo katikati yetu.

La kufanya ni kuomba tu Mungu aingilie mwenyewe.
 
Mambo mengine bana. Ukitongozwa una haki ya kukubali au kukataa. Jamaa yako anashindwa kusema hapana? Hakuna kitufe cha block kwenye simu yake...

Ni suala la muda tu ataliwa yeye
Exactly!
 
Lengo ni kutupa story au? Sasa hapo ushauri wa nini? Maamuzi si ni kumkataa tu au???
 
Kama hela ipo aje inbox vijana wajasiri tusiogope mavi tuko tayar kupambania jasho letu kwa ajilinya vizaz vyetu awe tayar kupimwa ngwengwe tu atoe mpunga sio mambo ya nakupenda mai wangu atoe mpunga tuwai ibada kwa mwamposa tukatubu kabla hatujafa
Kwa posti hii usikute ulikuwa hujijui kuwe wewe pia gasho...
 
Back
Top Bottom