Rafiki yangu anasumbuliwa na shoga. Je, achukue hatua gani za haraka ?

Hakuna haja ya kumshtaki
wala asimchukie
aoneshe upendo tu kwa jamaa na hatamsumbua tena
 
Unawezaje kuomba ushauri Kwa Upuuzi kama huu....!

Kazi yenu humu kuwaambia Wanawake, ooh Wanawake hawawezi kukataa, hawajui kusema hapana.....!

Sasa Leo Mwanaume mtu mzima anakuja hapa kuomba Ushaurii eti Shoga anamtomgoza afanye nini!?.....! Stupidity on it high level..!

Always husema ghafla Wanaume Wakawa Wanawake na Wanawake Wakawa Wanaume....! Wanaume wengi watakua wanagomgwa ovyo ovyo kila sehemu....!

Kweli Mwanaume unakuja kuomba ushauri kwamba ufanye Nini Shoga anakusumbua....!

Foseg....!"
 
Hawa wapo, najua mahali fulani wameajiriwa wapo wawili,

Hata huyu Mheshimiwa mnayetaka kumshtakia, anajua pasi na shaka kuwa wapo katika yetu.

Sijui kwa nini umeamua kuja huku, hawa watu wapo katikati yetu.

La kufanya ni kuomba tu Mungu aingilie mwenyewe.
 
Mambo mengine bana. Ukitongozwa una haki ya kukubali au kukataa. Jamaa yako anashindwa kusema hapana? Hakuna kitufe cha block kwenye simu yake...

Ni suala la muda tu ataliwa yeye
Exactly!
 
Lengo ni kutupa story au? Sasa hapo ushauri wa nini? Maamuzi si ni kumkataa tu au???
 
Kama hela ipo aje inbox vijana wajasiri tusiogope mavi tuko tayar kupambania jasho letu kwa ajilinya vizaz vyetu awe tayar kupimwa ngwengwe tu atoe mpunga sio mambo ya nakupenda mai wangu atoe mpunga tuwai ibada kwa mwamposa tukatubu kabla hatujafa
Kwa posti hii usikute ulikuwa hujijui kuwe wewe pia gasho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…