Rafiki yangu anasumbuliwa na shoga. Je, achukue hatua gani za haraka ?

Yeye na huyo shoga wagee namba zangu
 
Ampelekee moto au muunganishe na Baltazar
 
Hao ni wadau wanajuana, kitu ukiwa hupendi hata huhitaji ushauri wa mtu mwenyew tu anaetongoza ataona hapa pamoto anakuacha.
Hata mm unahisi jama amekula lishoga had akipost picha anasema kipara nimekumiss
 
Ungepeleka dawati la jinsia. Umenilazimisha kusoma maana macho hayana mpaka bango lako linashine
Sas mm siyo nilie tongozwa na shoga ni mshakaji wangu
 
Kaka siyo mm haki vile ni jamaa angu ndio anasumbuliwa na shoga mm siwez kula mashoga
Relax and calm down gentleman,

mawaidha yangu ni ya jumla kwa wadau wote wa maana sana wa JF, endapo wanakutana na songombingo kama hiyo..

Hata hivyo,
nadhani njia ya kusaidia kumtoa huko kwenye huo uchafu ni kumuexpose tu kwa jamii nzima inayowazunguka 🐒
 
Hivi nini Huwa kinawapata Hawa watu?
 
Sijakususa rafiki nakuja. Wa kupelekwa dawati ni huyu jamaa
Kidogo angalau.

Lakini huyo bingwa naye anatusumbua tu. Kutongozwa atongozwe yeye kisha anakuja kuomba conset kwetu...

Atupishe kidogo😀
 
Pumbavu kabisa unaeneza upuuzi wako kwa mwavuli wa eti rafiki wa jamaa yangu ! Jiwekee chupa kama unawashwa, sijui hiki kizazi kimelaaniwa ! Moderator futeni huu uzi !
Nami naamini hivi hivi, kijana kaamua kutangaza biashara yake kijanja, hovyo kabisaaa
 
Kidogo angalau.

Lakini huyo bingwa naye anatusumbua tu. Kutongozwa atongozwe yeye kisha anakuja kuomba conset kwetu...

Atupishe kidogo😀
Jinga sana hili jamaa. Anataka kutushirikisha dhambi zake
 
Toa ushauri jins ya ku handle ishu kama hz huwenda yule kaka ako ndio shoga ana mtamani na huko huku hujui na tukana tu
Nilishatoa ushauri. Wewe na huyo jamaa pelekeni vinyeo vyenu kwa mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…