Kilichotokea mume alikosa kipato, pia akaugua, basi mama dharau ikawa kubwa kama anavyosimulia huyu mleta post. Mazingira hayo hayo, halafu cha ajabu mume ndio alimsomesha mke mpaka hapo alipofika.Yan kuna watu wapumbavu sana alaf mwisho wa siku anakuja kulaum mwanaume hatoi msaada kwenye kukemea watoto
Kama hujaolewa, nakushauri umlishe matango pori huyo shoga yako.
Mwambie amwambia huyo mumewe kuwa watoto sio wake halafu aombe zake talaka. Wakati bado anahangaikia talaka anza kumtongoza mume wake mpaka kieleweke.
Dah pole zake sana yan unajitoa kwa mtu alaf baadae huyo mtu anakugeuka tena anakuona ww falaKilichotokea mume alikosa kipato, pia akaugua, basi mama dharau ikawa kubwa kama anavyosimulia huyu mleta post. Mazingira hayo hayo, halafu cha ajabu mume ndio alimsomesha mke mpaka hapo alipofika.
Dah pole zake sana yan unajitoa kwa mtu alaf baadae huyo mtu anakugeuka tena anakuona ww fala
Hawa viumbe mara nyingi huwa wanatamani kututawala wao ndio wawe wasemaji wakuu ndio maana ukianguka kidogo akakuzidi na ww ukajisahau kushiria nafasi yako ndan ya familia imekula kwakoHiyo iko sana haswa wanawake sijui kwanini...sisi wanaume huwa tuna uwezo wa kuvumilia sana hali za wake zetu, ila wanawake mwanaume akiyumba kiuchumi basi ni shida kubwa, sijui kwanini. Yaani alichosimulia huyu jamaa kimetokea kwa wanaume wengi sana. Mara nyingi mwisho ndoa huvunjika tu.
ππππHuyu yupo njiani kumpora mume wa mtu.
Anatuandaa tu ili tumsapoti
Nyote ni pepo punda
Fanyeni ukatili malipo ni hapa hapa duniani.