We dume unahitaj rungu kwanza ..kwann unafatilia mambo ya watu vijana wa sasa mna u delicious sana ......mambo ya watu unafungulia uzi
Hamna cha ajabu . Kama vyi yankee vyinapendwa na wanaMama wa Makamu ! Hata Vibinty vyi dogo Vinatembea na wazee wa makamu ... Mtindo wa maesha wa kisasa unatulazimisha kila moja wetu ajikunye panapomwasha...
Ndo maana wazungu wametuzidi; hawaendekezi umri. Rais wa ufaransi ni mdogo kuliko mke wake, pia ni mdogo watoto wa mke wake.
Ni shida kusoma habari ukiwa na negativities kichwani, kuwa huru, soma then utaelewa. Hata huoni hizo marks hapo!! Una shida ya uelewa mkuu.Ulibakwa halafu ukaenjoy?
Uongo huu. Jamaa kaambiwa atazaliwa mtoto 1 sasa hiyo sio moja ya future? ?? Hujui lazima atahusika kulea kama baba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio una shida ya kueleza.Ni shida kusoma habari ukiwa na negativities kichwani, kuwa huru, soma then utaelewa. Hata huoni hizo marks hapo!! Una shida ya uelewa mkuu...
JF kweli siku hizi kumejaa vitoto.
Huyo mama ni mkongwe arv kwake anaziona kama pipi ivory[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako mbona halina alama ya kuuliza?
Wapi wewe alienizaa ni mmoja tu, wapi kwenye kitabu gani kimekataza kutembea na aliekuzidi umri