livewise1
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 837
- 967
- Thread starter
- #41
Soma tena...usikurupuke, kanionesha chatting zake na ananiuliza ushauri mi nimeshindwa maana anaelekea anataka tu legitimacy aendelee nae mi upande wangu naona hafai.
Sent using Jamii Forums mobile app
We dume unahitaj rungu kwanza ..kwann unafatilia mambo ya watu vijana wa sasa mna u delicious sana ......mambo ya watu unafungulia uzi
Sent using Jamii Forums mobile app