Rafiki yangu kashikwa uchawi nikimuliza ananijibu ni Imani ya kazi

Rafiki yangu kashikwa uchawi nikimuliza ananijibu ni Imani ya kazi

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
IPO hivi ,Nina mshikaji wangu flan mwanangu sana , yeye amebahatika kufanya biashara tu yaani Toka ukinga akiwa mdogo sana yeye ni biashara tu .

Sasa kilichotokea wanavyodai alizama kishirikina kwenye duka la wajomba zangu ( wakinga) then akakamatwa kishirikina kikaitishwa kikao Cha wachache akapigwa fain akachiwa .

Kila nikimuangalia mshikaji alivyo bishoo inanishangaza sana na nimemuliza kanijibu kiufupi kuwa uchawi ni Imani ya kazi tu. Imenitisha sana kuwa kumbe nashinda na mchawi .

Hapa sielewi ntaishije naye nikimbuka alivyokuwa anawatolea shit watu aliokuwa anadai ni wachawi inashangaza sana
 
IPO hivi ,Nina mshikaji wangu flan mwanangu sana , yeye amebahatika kufanya biashara tu yaani Toka ukinga akiwa mdogo sana yeye ni biashara tu . Sasa kilichotokea wanavyodai alizama kishirikina kwenye duka la wajomba zangu ( wakinga) then akakamatwa kishirikina kikaitishwa kikao Cha wachache akapigwa fain akachiwa . Kila nikimuangalia mshikaji alivyo bishoo inanishangaza sana na nimemuliza kanijibu kiufupi kuwa uchawi ni Imani ya kazi tu. Imenitisha sana kuwa kumbe nashinda na mchawi . Hapa sielewi ntaishije naye nikimbuka alivyokuwa anawatolea shit watu aliokuwa anadai ni wachawi inashangaza sana

Mambo ya kiroho ni mtambuka Sana ,Jifunze kwake yaliyo chanya na ambayo sio chanya muachie .
 
Mkuu mbona unazungumza kama vile umeshikanishwa na huyo jamaa

Unazungumza as if hauna option nyingine

Unazungumza kama vile unamjali sanaaaaaa.

Chukua maamuzi kama mwanaume banaa, kataa urafiki nae au endelea kumvumili tu.
 
Duuju biasharacmgumu sanaaa.....niliwahi kuambiwa nisifanye boashara kikristu dintafika kokote...kweli niliacha ile biashara bila kupata manufaa kivileeee lakini wenyewe wako tu miaka 30 sasa wako vyediiii
 
FB_IMG_1729088241415.jpg
 
IPO hivi ,Nina mshikaji wangu flan mwanangu sana , yeye amebahatika kufanya biashara tu yaani Toka ukinga akiwa mdogo sana yeye ni biashara tu . Sasa kilichotokea wanavyodai alizama kishirikina kwenye duka la wajomba zangu ( wakinga) then akakamatwa kishirikina kikaitishwa kikao Cha wachache akapigwa fain akachiwa . Kila nikimuangalia mshikaji alivyo bishoo inanishangaza sana na nimemuliza kanijibu kiufupi kuwa uchawi ni Imani ya kazi tu. Imenitisha sana kuwa kumbe nashinda na mchawi . Hapa sielewi ntaishije naye nikimbuka alivyokuwa anawatolea shit watu aliokuwa anadai ni wachawi inashangaza sana
Kabisa uchawi ni imami. Kuacha ni ngumu. Kuwa naye makini.
 
Yeye ndo anapaswa ajitenge na wewe ili awe na washirika wenzie kwenye kazi.
 
Nahitaji mtu wa kunifundisha uchawi, nitamlipa

nimechoka kurudishwa nyuma na wachawi nataka na mimi niwe mmoja wao
 
Back
Top Bottom